Caterpillar Vs Range: Vijana mliopata pesa na hamna majukumu mengi, wekezeni huku

Caterpillar Vs Range: Vijana mliopata pesa na hamna majukumu mengi, wekezeni huku

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salamu kwenu.

Binafsi yangu bado sijanunua gari, ila huko mbeleni nitanunua. Biashara yangu ikiwa imesimana.

Nimeona sasahv vijana wengi sana mafanikio yao ni magari ya kifahari na ya kustunt kwa convoy kubwa pale wanapoenda kwenye interview pamoja na showoff nyingine. (haswa wasanii na watu maarufu)

Najua ushauri wa nyumba umeshatolewa sana na sidhani tena kama nahitaji kuutoa tena.

Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii machine Cataerpila 320D excaveter ambayo price yake hapo ni kama 26000 USD na usafiri ni kama 4000USD mpaka inafika DSM.

Kijana mwenzangu unayesoma uzi huu Ingia google fanya research wewe mwenyewe alafu uone ukiwa na chuma kama tatu hapa mini sidhani kama utalala njaa.

Nunua hizi, peleka kule kwenye migodi kule then utanishukuru baadae.

Sikatai kununua gari ya ndoto yako na wala mimi sio motivesheni spika ila nadhani ukifanya research yako mwenyewe kuna kitu utapata.

Mwisho: Ukipata wazo la kufungua jina biashara, kampuni na taasisi basi nicheki PM tusaidiane.
Screenshot_20241112_133634_Chrome.jpg
 
Ukishalinunua hilo na kulipeleka mgodini halafu?

Naomba uongezee maelezo ya kupeleka mgodini na kupata hela!

Je ni mgodi gani ambao hauna hayo madude, tuambie mgodi gani hauna excavator!
Ujue tukiwa vijiweni tunapenda sana kuyachukulia mambo poa hatujui hao wanaovuna pesa huko kuna mchongo wameufanya hadi kupenyeza hizo mashine ili zipige kazi!

Bila mchongo mashine unaweza kupeleka na zisifanye kazi ukaishia kuibiwa spea tu likakaa juu ya mawe!

Kila kitu kina network mkuu! Kununua hayo madude siyo shida, shida ipo kuyafanya yaingize pesa ...kumbuka na uchawi upo
 
Ukishalinunua hilo na kulipeleka mgodini halafu?

Naomba uongezee maelezo ya kupeleka mgodini na kupata hela!

Je ni mgodi gani ambao hauna hayo madude, tuambie mgodi gani hauna excavator!
Ujue tukiwa vijiweni tunapenda sana kuyachukulia mambo poa hatujui hao wanaovuna pesa huko kuna mchongo wameufanya hadi kupenyeza hizo mashine ili zipige kazi!

Bila mchongo mashine unaweza kupeleka na zisifanye kazi ukaishia kuibiwa spea tu likakaa juu ya mawe!

Kila kitu kina network mkuu! Kununua hayo madude siyo shida, shida ipo kuyafanya yaingize pesa ...kumbuka na uchawi upo
Migodi mingi inakodi mashine na magari na kama wamiliki ni wageni tarajia kulipwa kwa usd ni uwekezaji mzuri kwakweli
 
Ukishalinunua hilo na kulipeleka mgodini halafu?

Naomba uongezee maelezo ya kupeleka mgodini na kupata hela!

Je ni mgodi gani ambao hauna hayo madude, tuambie mgodi gani hauna excavator!
Ujue tukiwa vijiweni tunapenda sana kuyachukulia mambo poa hatujui hao wanaovuna pesa huko kuna mchongo wameufanya hadi kupenyeza hizo mashine ili zipige kazi!

Bila mchongo mashine unaweza kupeleka na zisifanye kazi ukaishia kuibiwa spea tu likakaa juu ya mawe!

Kila kitu kina network mkuu! Kununua hayo madude siyo shida, shida ipo kuyafanya yaingize pesa ...kumbuka na uchawi upo
Wewe jamaa sikia, Acha ujuaji mwingi na kutaka kutafuniwa kila kitu, wakati mwingine ni bora tu ukae kimya ili watu wenye ujuzi wakuambie vitu vya maana, unapotanguliza ujuaji mwingi unakosa hata nafasi ya kuemdelea kusaidiwa na kubaki unalalamika eti kila kitu ni mchongo.

Fanya utafiti, Acha kubishana kwenye mitandao uonekane wewe ndio unajua kila kitu, nenda site kaulize watu.

Hapa JF mtu anaweza kuandika uzi ukadhani yeye ni mjinga mjinga. La hasha mtu anakupa information ndogo ili wewe ukafanye research nzuri ili uwe kwenye potential kubwa ya kufaidika na mawazo.

Mimi nimemaliza, nimeshaandika uzi na wenye akili zao sasahv wanafanya due diligence then hao wanasepa na kijiji. Endelea kuamini uchawi tu kwenye kila kitu.
 
Wewe jamaa sikia, Acha ujuaji mwingi na kutaka kutafuniwa kila kitu, wakati mwingine ni bora tu ukae kimya ili watu wenye ujuzi wakuambie vitu vya maana, unapotanguliza ujuaji mwingi unakosa hata nafasi ya kuemdelea kusaidiwa na kubaki unalalamika eti kila kitu ni mchongo.

Fanya utafiti, Acha kubishana kwenye mitandao uonekane wewe ndio unajua kila kitu, nenda site kaulize watu.

Hapa JF mtu anaweza kuandika uzi ukadhani yeye ni mjinga mjinga. La hasha mtu anakupa information ndogo ili wewe ukafanye research nzuri ili uwe kwenye potential kubwa ya kufaidika na mawazo.

Mimi nimemaliza, nimeshaandika uzi na wenye akili zao sasahv wanafanya due diligence then hao wanasepa na kijiji. Endelea kuamini uchawi tu kwenye kila kitu.
Sijakupinga lakini nilichokuuliza unazani ni wewe tu ndo umeona hiyo fursa kwamba wengine hawajawahi ona wakagundua kuna ugumuwakaachana nayo?

Una mawazo mazuri lakini wasiwasi wangu ni kwamba unaweza ukanunua hilo greda likaenda kutaga tu huko!

Ulivyoandika siyo rahisi kupiga hrla kama unavyofikiria bila kuwa na mchongo!
Ulichoaandika ni sawa na hadithi za kilimo cha matikitiki.

Bila network huko ukipeleka greda linataga kama huamini kapige wewe hizo hela mkuu! Kwani wewe hutaki pesa ndugu!
Chukua mkopo nenda kapige hela za chapu kama ni rahisi hivyo!
 
Sijakupinga lakini nilichokuuliza unazani ni wewe tu ndo umeona hiyo fursa kwamba wengine hawajawahi ona wakagundua kuna ugumuwakaachana nayo?

Una mawazo mazuri lakini wasiwasi wangu ni kwamba unaweza ukanunua hilo greda likaenda kutaga tu huko!

Ulivyoandika siyo rahisi kupiga hrla kama unavyofikiria bila kuwa na mchongo!
Ulichoaandika ni sawa na hadithi za kilimo cha matikitiki.

Bila network huko ukipeleka greda linataga kama huamini kapige wewe hizo hela mkuu! Kwani wewe hutaki pesa ndugu!
Chukua mkopo nenda kapige hela za chapu kama ni rahisi hivyo!
We umeshapewa muongozo,pia umeambiwa fanya utafiti,mambo mengine jiongeze sio kila kitu upewe.
Nilivoona umechanganya na mambo ya uchawi nikajua hauna content kabisa.
 
Salamu kwenu.

Binafsi yangu bado sijanunua gari, ila huko mbeleni nitanunua. Biashara yangu ikiwa imesimana.

Nimeona sasahv vijana wengi sana mafanikio yao ni magari ya kifahari na ya kustunt kwa convoy kubwa pale wanapoenda kwenye interview pamoja na showoff nyingine. (haswa wasanii na watu maarufu)

Najua ushauri wa nyumba umeshatolewa sana na sidhani tena kama nahitaji kuutoa tena.

Leo katika pitapita zangu nikakutana na hii machine Cataerpila 320D excaveter ambayo price yake hapo ni kama 26000 USD na usafiri ni kama 4000USD mpaka inafika DSM.

Kijana mwenzangu unayesoma uzi huu Ingia google fanya research wewe mwenyewe alafu uone ukiwa na chuma kama tatu hapa mini sidhani kama utalala njaa.

Nunua hizi, peleka kule kwenye migodi kule then utanishukuru baadae.

Sikatai kununua gari ya ndoto yako na wala mimi sio motivesheni spika ila nadhani ukifanya research yako mwenyewe kuna kitu utapata.

Mwisho: Ukipata wazo la kufungua jina biashara, kampuni na taasisi basi nicheki PM tusaidiane.View attachment 3150274
Hiyo bei mmhhh....
 
We umeshapewa muongozo,pia umeambiwa fanya utafiti,mambo mengine jiongeze sio kila kitu upewe.
Nilivoona umechanganya na mambo ya uchawi nikajua hauna content kabisa.
Story za mgodini kama huzijui unaweza chukulia poa...ukifika utaelewa
 
Sijakupinga lakini nilichokuuliza unazani ni wewe tu ndo umeona hiyo fursa kwamba wengine hawajawahi ona wakagundua kuna ugumuwakaachana nayo?

Una mawazo mazuri lakini wasiwasi wangu ni kwamba unaweza ukanunua hilo greda likaenda kutaga tu huko!

Ulivyoandika siyo rahisi kupiga hrla kama unavyofikiria bila kuwa na mchongo!
Ulichoaandika ni sawa na hadithi za kilimo cha matikitiki.

Bila network huko ukipeleka greda linataga kama huamini kapige wewe hizo hela mkuu! Kwani wewe hutaki pesa ndugu!
Chukua mkopo nenda kapige hela za chapu kama ni rahisi hivyo!
Mkuu hivi unawaza nini
 
Labda una mawazo ya migodi ni GGM na Barrick pekeyake ila ukitaka kujua hizi mashine dili na kuna migodi mingi ya kati wanazikodisha nenda kwa wenye nazo waambie unataka kukodi wakupe bei ya masaa tisa,bila kodi nadhani utapata picha
 
Kwa hyo bei, labda wakuletee zile excavator wanazochezea watoto..
Excavator garama ni zaid ya mil 800..
 
Kwa hyo bei, labda wakuletee zile excavator wanazochezea watoto..
Excavator garama ni zaid ya mil 800..
Kwanini ununue bei yote hiyo wakati brand ya lovol mpya unapata hadi kwa dola 90000?milion 800 ni nyingi tena ukiangaika vizuri kwa dollar 40000 unapata ila iliyotumika masaa mengi kidogo
 
Wewe jamaa sikia, Acha ujuaji mwingi na kutaka kutafuniwa kila kitu, wakati mwingine ni bora tu ukae kimya ili watu wenye ujuzi wakuambie vitu vya maana, unapotanguliza ujuaji mwingi unakosa hata nafasi ya kuemdelea kusaidiwa na kubaki unalalamika eti kila kitu ni mchongo.

Fanya utafiti, Acha kubishana kwenye mitandao uonekane wewe ndio unajua kila kitu, nenda site kaulize watu.

Hapa JF mtu anaweza kuandika uzi ukadhani yeye ni mjinga mjinga. La hasha mtu anakupa information ndogo ili wewe ukafanye research nzuri ili uwe kwenye potential kubwa ya kufaidika na mawazo.

Mimi nimemaliza, nimeshaandika uzi na wenye akili zao sasahv wanafanya due diligence then hao wanasepa na kijiji. Endelea kuamini uchawi tu kwenye kila kitu.
Kakueleza kitu kizuri sana ni vile tu umekaza fuvu
 
Back
Top Bottom