Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Dada Catherine, wee ni Moja ya Wanawake makini, wachapa Kazi ,wawazi, na Wafia chama ,majasiri na makini.
Inawezekana ni kupitiwa tu na ushawishi , Binadamu tunakosea.
Ninaamini Kwa Kariba yako, wewe Sio kundi lile, wewe ni wa LISSU , Infact wewe na LISSU Kuna vitu mnaviamin.
Chonde chonde, Unahitajika Ugombee Ubunge 2025 na uwe Mbunge ama wa Jimbo au Viti maalum.
Dada Catherine, Mimi nakupenda sanaaa sanaaa sanaaa , naomba uwatumie Wazee wà chama, au mtafute LISSU, LISSU alitangaza uhuru Kwa wote na kufuta visasi.
Sikia Dada yangu , LISSU AKISEMA ANAMAANISHA.
Pia Soma: Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume "patriarchy"
Kama upo humu Jamiiforums baada ya kusoma Uzi huu Dada, embu tabasamu kidogo, jitazame kwenye kioo ulivyo, Pitia CV yako , Kisha ANZA NA LISSU .
Mwaaa !!
Inawezekana ni kupitiwa tu na ushawishi , Binadamu tunakosea.
Ninaamini Kwa Kariba yako, wewe Sio kundi lile, wewe ni wa LISSU , Infact wewe na LISSU Kuna vitu mnaviamin.
Chonde chonde, Unahitajika Ugombee Ubunge 2025 na uwe Mbunge ama wa Jimbo au Viti maalum.
Dada Catherine, Mimi nakupenda sanaaa sanaaa sanaaa , naomba uwatumie Wazee wà chama, au mtafute LISSU, LISSU alitangaza uhuru Kwa wote na kufuta visasi.
Sikia Dada yangu , LISSU AKISEMA ANAMAANISHA.
Pia Soma: Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume "patriarchy"
Kama upo humu Jamiiforums baada ya kusoma Uzi huu Dada, embu tabasamu kidogo, jitazame kwenye kioo ulivyo, Pitia CV yako , Kisha ANZA NA LISSU .
Mwaaa !!