wewe acha ubishi angalia mazingira ya kubusiana, halafu ndio ubishe...oooh kumbe unaosha kinywa?wewe humjui huyu pape...
Kila siku anakuja hapa na
story za aina hii.haziko sincere....
Zimejaa plots za kubuni.
Hakuna mlinzi wa kampuni atakae thubutu kukudai pesa
kwa sababu umem kiss mwanamke kwa hiari yake.
Halafu bosi wa kampuni inamuhusu nini kama
wewe umeoa na ume mkiss mwanamke mwingine?
ni ujinga mtupu,
eti tanzania hii mwanaume utolewe milioni mbili
kwa sababu ya kum kiss mwanamke???????
Hivi vistory vyako havina kichwa wala miguu..
Mtu ameomba ushauri wewe unasema ujinga mtupu na nikiangalia hapo wewe ni 'Senior Expert member'.....Amazing!!Grow up!Sio lazima uchangie kila kitu ili kuosha kinywa tu.Be considerate!!!
asante sana...
whatever...