Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Members wa JF wenye ndugu na Marafiki wanaosoma CBE Dodoma... Wataadharisheni wanachuo wasomao hapo kuwa FFU wapo tayari in FULL GEAR wakijiaandaa ku-attack... nawasilisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ffu tumechoka nao mana wanakera ,wanafunzi wa udom inaonekana kama hawapendi shule,yani wana fact za ajabu eti hawafanyi mitihani kisa imetungiwa dar,mmmmh!!makubwa
ffu tumechoka nao mana wanakera ,wanafunzi wa udom inaonekana kama hawapendi shule,yani wana fact za ajabu eti hawafanyi mitihani kisa imetungiwa dar,mmmmh!!makubwa[/QUOT
NI CBE SIO UDOM
umeambiwa CBE we unang'ang'ania UDOM,mbona mnaichukia UDOM bila sababu ya msingi?kweli ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya/QUOTE]