Cbe dodoma jiandaeni ffu wapo njiani.

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,551
Reaction score
2,153
Members wa JF wenye ndugu na Marafiki wanaosoma CBE Dodoma... Wataadharisheni wanachuo wasomao hapo kuwa FFU wapo tayari in FULL GEAR wakijiaandaa ku-attack... nawasilisha...
 
ffu tumechoka nao mana wanakera ,wanafunzi wa udom inaonekana kama hawapendi shule,yani wana fact za ajabu eti hawafanyi mitihani kisa imetungiwa dar,mmmmh!!makubwa
 
Acha wawape uzoefu wa kuzoea mabomu ya machozi ili tukidai haki zetu waoga wapungue.....
 
Waziri Chami amekwisha tatua tatizo muda huu.. Ameagiza mitihani itungiwe hapohapo Dodoma.. Pia amekubali tuitor Misaky ajadiliwe na kamati.. Wanafunzi walimkataa pia..
 
ffu tumechoka nao mana wanakera ,wanafunzi wa udom inaonekana kama hawapendi shule,yani wana fact za ajabu eti hawafanyi mitihani kisa imetungiwa dar,mmmmh!!makubwa

mkuu naanza kuwa na wasiwasi na usenior expert wako! post inahusu cbe we waongelea udom?? kwanini huwa mnakurupuka sana? take time to read the post
 
ffu tumechoka nao mana wanakera ,wanafunzi wa udom inaonekana kama hawapendi shule,yani wana fact za ajabu eti hawafanyi mitihani kisa imetungiwa dar,mmmmh!!makubwa[/QUOT

NI CBE SIO UDOM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…