Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
ffu tumechoka nao mana wanakera ,wanafunzi wa udom inaonekana kama hawapendi shule,yani wana fact za ajabu eti hawafanyi mitihani kisa imetungiwa dar,mmmmh!!makubwa
ffu tumechoka nao mana wanakera ,wanafunzi wa udom inaonekana kama hawapendi shule,yani wana fact za ajabu eti hawafanyi mitihani kisa imetungiwa dar,mmmmh!!makubwa[/QUOT
NI CBE SIO UDOM
umeambiwa CBE we unang'ang'ania UDOM,mbona mnaichukia UDOM bila sababu ya msingi?kweli ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya/QUOTE]