yaani hata jina la chuo unachosoma hulijui?kinaitwa chuo cha elimu ya biashara[college of business educutation na sio chuo cha biashara,jinsi ulivyoandika kwa jazba inaonekana umeshikwa mwaka au walau una vi sapu vitatu,
acha jazba leta hija za msingi au zipeleke wizara ya viwanda na biashara waliomwajiri huyo kiputiputi