Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Habari nilizozipata, huko Dodoma, wanafunzi wa Bachelor wote wamegoma fanya mitihani ya end of semister.. Kisa imetungiwa CBE dar..
vinaogoa kwani havijasoma hvyo vilikuwa vipo lolindo kwa yule babu anayetibu si mnajua tena ndo dawa hyo imegunduliwa ...
ajabu TBC walifika hapo na hadi sasa habari hii hawajairusha.
Wanachuo wanaosoma degree chuo cha cbe dodoma wamegoma kufanya mitihani wakishinikiza mitihani iwe inatungwa hapo hapo chuoni na sio utungwe cbe dar kama ilivyo sasa......
ajabu TBC walifika hapo na hadi sasa habari hii hawajairusha.
Habari nilizozipata, huko Dodoma, wanafunzi wa Bachelor wote wamegoma fanya mitihani ya end of semister.. Kisa imetungiwa CBE dar..
Acheni kuongelea vtu msivyovijua. Sisi tumegoma sababu ikitungwa dar, mademu zetu watashindwa kuvujishiwa na mabuzi yao ambao ni wahadhiri wa cbe dom. Wahadhiri wa dom huwa wanawapa mademu zetu, na sisi tunaponea hapo hapo.
crap crap crap