katika selection za first year 2012-2013 college of bussiness education dar es salaam campus wametoa majina ila cha kushangaza facult ya bachelor in procument and supply management wametoa watu 29 na wengine wamechaguliwa na TCU Huko Kwenye profile zao ila majina yao hayapo ivi inakuaje hapo asee na tarehe ya kufungua ni lini?