CBE seminary

mwanawani utakuwa mmoja na wale walioathiriwa na mabadiliko haya ya CBE (kwa maana ulikuwa unavaa hizo nguo kama wewe ni KE, au ulikuwa unaenjoy kuona maumbile ya dada zetu live bila chenga kupitia tunguo twao walitokuwa wanavaa kama wewe ni ME) na ndo mana unalisemea hilo hapa JF.....
Wamekusikia, naamini principal wenu anatembelea hapa JF ..sali alifanyie kazi hilo!!! labda kutakuwa na mabadiliko chanya kiupande wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…