A
Anonymous
Guest
Chuo cha CBE kimezuia wanafunzi kufanya mtihani wa mwisho kwa sababu hawana bima.
Hii haipo sawa kwani hawajaweka utaratibu sahihi wa kupata hizo BIMA naomba waruhusu wanafunzi tufanye mitihani
===========================
Wanafunzi wa Chuo cha CBE tumenyimwa kufanya mtihani wa kumaliza Semester ya kwanza ya Mwaka wa Kwanza kisa hatuna Bima ya Afya.
Tulikuwa tuanze mtihani wiki ya jana, tulipewa wiki mbili mpaka wiki ya Jumatatu ijayo tuwe tumelipa ndio wajue hatma yetu kama wataturuhusu kufanya mtihani au la.
Hii haipo sawa kwani hawajaweka utaratibu sahihi wa kupata hizo BIMA naomba waruhusu wanafunzi tufanye mitihani
===========================
Wanafunzi wa Chuo cha CBE tumenyimwa kufanya mtihani wa kumaliza Semester ya kwanza ya Mwaka wa Kwanza kisa hatuna Bima ya Afya.
Tulikuwa tuanze mtihani wiki ya jana, tulipewa wiki mbili mpaka wiki ya Jumatatu ijayo tuwe tumelipa ndio wajue hatma yetu kama wataturuhusu kufanya mtihani au la.