The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Sijui kuna nini kati ya CCJ na Mwanakijiji. Maana debe analokipigia si la kawaida.
Hoja ya kwamba CCJ chama cha maana (serious) kwa sababu kimejulikana kwa muda mfupi ina utata. Kwani zilianza rumours kwamba baadhi ya vigogo wa CCM ndio waanzilishi wa CCJ. Ni hilo ndilo lililoipandisha "chati feki" CCJ. Zaidi ya huu udaku, hamna la maana. Hata wanapoulizwa viongozi wengine wa siasa juu ya nguvu ya CCJ, msingi wake ni hizo tetesi za vigogo hewa wa CCM.
Bado nasimama pale pale: ni waganga njaa. It is hoax.
Kila mtu anapanda shamba lake apendavyo; kwanini haikuwa juzi au jana; kwanini haikuwa miaka 20 iliyopita. Vipi labda hawakuwa na mbegu wakati huo, au walikuwa wanasubiri alama za nyakati. Je hawana haki ya kuanzisha chama wakati muafaka wauonao wao au ni lazima waanzishe chama wakati wengine wangependa waanzishe. Walichofanya ni kuonesha uhuru wao wa kuamua kufanya wanachokitaka.
Siasa ni pamoja na timing, CCJ wameonesha timing yao ni nzuri kwa sababu ndiyo chama pekee ambacho kuanzishwa kwake kumewafanya CCM na uongozi wake kutoa maelezo mara kadhaa ya kukikandia, kuanzia Katibu na Msajili mwenyewe wote wanataka watu wapuuzie.. nashangaa kwanini? Kama hiki chama si kitu.. mbona hata Seif wa CUF(chama kikongwe) naye ametoa kauli yake.. wanaogopa nini?
Tatizo ni kuwa siyo CCJ; tatizo ni watu ambao hawaamini kabisa kuwa wapo Watanzania wenye uwezo wa kufikiri nje ya sanduku walilowekewa. Tangu mwanzo watu wameanza kusema "kuna vigogo nyuma ya CCJ" na watu wanaamini hilo. Kwa sababu tunafikiri kuwa ili kuweza kuongoza mabadiliko tunahitaji majina ya vigogo. As a matter of your information, CCJ itawakataa baadhi ya vigogo ambao watataka kujiunga nao!!
Watu wanaenda kwenye sanamu ya Lincoln hapa US na wanatembelea makumbusho ya George Washington! kila siku kwa maelfu! Hakuna kosa kwenda kutembelea kaburi la muasisi wa Tanzania, as a matter of fact hata CUF, CHadema na wengine wangeweza kwenda hata kama hawatalia lakini kuonesha chochote wanachofikiria. CCJ wameonesha hawana wa kumuogopa na hawana haya kuonekana wanatambulishwa na Nyerere.
Of course ni cheap popolarity thats why inaitwa Siasa! Watanzania wanamkumnbuka Baba wa taifa wakati huu, na here comes CCJ na kuwakumbusha.. guess what? CCJ gets points. Simple old fashioned Politics
Well.... at the end historia ndio muamuzi, mtakapoamka itakuwa too late. Too much intellectualizing instead of politicizing!
Mag3 ndiyo maana nimewaambia watu hapo juu kuwa hakuna chama chenye bahati kama CCJ, kwanza kinapata matangazo ya bure (yaani CCM wametoa tamko, Chadema wametoa tamko, TLP na CUF), zaidi ya yote, wachunguzi na magazeti yamekitangaza bure kabisa, tungeweka kwenye gharama ya fedha, matangazo ya TV, Radio na magazeti ambayo CCJ imepata bure yangefikia mamilioni ya hela ya madafu!
Sasa mwananchi wa kawaida kwa kweli hajali hoja za kisomi za "why now, why CCJ, who is behind bla bla" mwananchi anaona mbona hiki chama kinawasumbua wakubwa, there has to be something. Halafu jamaa kuwaudhi wanaenda hadi kwenye kaburi la mwalimu, wanaoneshwa kuguswa na kumkumbuka muasisi wa taifa lao wanaapa kuwa ajenda yao ni kusafisha ufisadi n.k mwananchi wa kawaida anaona "hiki ndio chama".
Utaoan kuwa CCJ hawajaja na takwimu za matatizo yetu au kutangaza juu ya orodha mpya ya ufisadi!
Angalia wanatangaza hivi juu ya lengo la kuundwa kwao:
Wanafikia lengo hilo kwa sababu kadhaa baadhi ni kuwa:
na kuwa
Yaani hilo limo kwenye Katiba yao! siyo CCM wala chama kingine cha ajenda hii kwenye Katiba yake!
Na angalia malengo yake:
sasa ni mtu gani wa kawaida akisoma hayo ambaye hatovutiwa? Je tunaweza kuona kwanini vyama vingine vinakiogopa chama ambacho kimechelewa kuanza?
Sijui kuna nini kati ya CCJ na Mwanakijiji. Maana debe analokipigia si la kawaida.
Hoja ya kwamba CCJ chama cha maana (serious) kwa sababu kimejulikana kwa muda mfupi ina utata. Kwani zilianza rumours kwamba baadhi ya vigogo wa CCM ndio waanzilishi wa CCJ. Ni hilo ndilo lililoipandisha "chati feki" CCJ. Zaidi ya huu udaku, hamna la maana. Hata wanapoulizwa viongozi wengine wa siasa juu ya nguvu ya CCJ, msingi wake ni hizo tetesi za vigogo hewa wa CCM.
Bado nasimama pale pale: ni waganga njaa. It is hoax.
Sijui kuna nini kati ya CCJ na Mwanakijiji. Maana debe analokipigia si la kawaida.
Hoja ya kwamba CCJ chama cha maana (serious) kwa sababu kimejulikana kwa muda mfupi ina utata. Kwani zilianza rumours kwamba baadhi ya vigogo wa CCM ndio waanzilishi wa CCJ. Ni hilo ndilo lililoipandisha "chati feki" CCJ. Zaidi ya huu udaku, hamna la maana. Hata wanapoulizwa viongozi wengine wa siasa juu ya nguvu ya CCJ, msingi wake ni hizo tetesi za vigogo hewa wa CCM.
Bado nasimama pale pale: ni waganga njaa. It is hoax.
Kwa kweli hata mimi namshangaa Mwanakijiji.Huenda na yeye akawa ni one of the founders...Hutuwezi kujua lets wait and see.
Katiba ni maandishi tu Mkuu,ngoma ipo kwenye utekelezaji..Usidanaganyike na Maandishi siku zote huwa yanavutia sana..
CCJ inaweza kuwa kama vyama vingine ya ruzuku tu.. so far tanzania tuna upinzani serious kutoka CHADEMA na CUF, nachelea kuwaingiza CCJ huko
Mambo yote makubwa yanataka umakini na subira ili kuweza kupata manufaa yake. Hili ambalo CCJ inalipangilia kufanya ni jambo kubwa maana linaweza kuubadili mustakabali wa Taifa.
Mimi nawapa muda ili nione kama wanamaanisha wanayoyasema. Ntafanya kosa kubwa kama fatwa yangu ntaitoa mapema kiasi hiki.
It is for them to prove beyond no doubt that they mean what they say
mkuu, nina ugonjwa mmoja naupenda sana, kuona vitendo rather than kusikia mlio!!! i am for Tz na kama umesoma humu, i have never supported a party, i support maisha mazuri kwetujust count them out.. na endeleeni na vyama vingine "serious" vya upinzani.. CCJ siyo chama cha upinzani ni chama kinachotaka kuongoza mabadiliko ya kweli! Hivi vyama vingine viendelee tu kuwa wapinzani.
just count them out.. na endeleeni na vyama vingine "serious" vya upinzani.. CCJ siyo chama cha upinzani ni chama kinachotaka kuongoza mabadiliko ya kweli! Hivi vyama vingine viendelee tu kuwa wapinzani.
nasubiri mambo ya CCJ yaje, but they have had a fault start, badala ya kuingia kwenye media kivile, basi wangekuja na namna nyingine
Thanks Mkuu.... i can confirm that for the past three years i have made alot of changes around me, hiyo ni kwa level yangukauli yangu moja huko nyuma ni kuwa mabadiliko siyo yale tunayoyatamania au kuyangojea; ni yale tunayojiletea. Sasa endelea kusubiri mkuu.. subiri wengine walete na yakija we dandia