CCM 2013: Umeme kuuzwa nchi za nje mwakani

Ndiyo hawa hawa walituahidi kipindi kile, milioni 50 kwenye kila Kijiji! Halafu baada tu ya kupata madaraka, wakatugeuka.
Ndio maana halisi ya Uongo-zi au ki-ongo-zi, lazima uwe na vinasaba vya uongo uongo ndani yako lasivyo watu hawawezi kukuelewa, angali suala la umeme linavyopigishwa dana dana kila siku tunapewa uongo mpya, mara mitambo mibovu, mara ukame, mara maji hayatoshi, mara mafundi wanarekebisha gesi, nk kila siku wanabuni uongo mpya, full fix
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…