Uchaguzi 2020 CCM 2020: Mambo yazidi kunoga, kipyenga chapulizwa rasmi


Hata Kanda ya ziwa kavuruga kweli kwenye Samaki hawana hamu
 
Naona muwa unajaribu kuzamisha meli...teh
 
Makundi yote Kanda zote kavuruga si ndani si nje,ni matumizi mabaya ya akili Na mda kurudia tena makosa hata Mungu atatulaani
Baadhi ya maeneo kasaidia sababu mambo yalikuwa yanafanyika kwa uharibifu.

Mfano samaki, nadhani kilichofanyika ni sahihi au wewe hauogopi samaki wanaweza isha?
 
Baadhi ya maeneo kasaidia sababu mambo yalikuwa yanafanyika kwa uharibifu.

Mfano samaki, nadhani kilichofanyika ni sahihi au wewe hauogopi samaki wanaweza isha?

Wasiishe awamu zilizopita waishe awamu hii?Mvuvi hana kosa maana atengenezi nyavu ,wacongo ,wazambia nk walijaza semi zikamwaga Pesa Kwa wavuvi,Leo hazipo sababu ya ushuru komozi faida yote wachukue wao vikwazo kibao
 
kumbuka ziwa tuna share na wengine vipi kule kwingine nako ?
Eneo kubwa la ziwa ni letu hivyo sisi ndio tutaathirika zaidi na uharibifu wa aina yoyote ile.

Pili, nadhani, hapa natumia kumbukumbu kidoogo ya ufahamu wangu wa mambo ya ecology. Samaki hawasafiri umbali mrefu sana majini kama inavyoweza kuonekana kwa harakaharaka. Hivyo kuna samaki mule wa Tanzania, wa kenya na wa uganda.

Sasa wao wakivua hovyo hovyo inakula kwao.
 
Wasiishe awamu zilizopita waishe awamu hii?Mvuvi hana kosa maana atengenezi nyavu ,wacongo ,wazambia nk walijaza semi zikamwaga Pesa Kwa wavuvi,Leo hazipo sababu ya ushuru komozi faida yote wachukue wao vikwazo kibao

Jinsi watu wanavyokimbilia mijini ndio na mahitaji ya samaki yanavyoongezeka. Population ya pale mwanza imedouble katika kipindi cha miaka ishirini iliyopita. Hii inasababisha tishio la samaki ziwani.
 

Hapo ni Membe anasifiwa au ni watu wanachochea kuni ili kumvuruga jiwe? Sioni uhusiano wa kushindwa wapinzani na huu ushabiki unaoendelea hapa jukwaani. Kwahiyo wapinzani wakishindwa hiyo 2020 itakuwa ni kwakuwa walikuwa wanamjadili Membe huku majukwaani? Kwa hiyo wasipomjadili Membe, 2020 watashinda uchaguzi? Acha hizo boss. Hoja zimekuishia kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…