Uchaguzi 2020 CCM 2020: Mambo yazidi kunoga, kipyenga chapulizwa rasmi

Kariakoo zimetapakaa hizi shati ni balaa ! cha kushangaza vijana wanazivaa bila hata kuogopa kutekwa !
Membe akigombea kupitia Chadema kweli ntakubali lile jina la TANAPA linatuhusu.
 

Unafahamu maana halisi ya maneno LAANA na THAMANI?
 
Halafu sura yake KLM tupu, lkn Kanda ya Ziwa ndo mpango mzima, MZ, KG, TB, Katavi, RK, KGM mpaka sehemu ya SGD ni Magu tu!
Watu waliokata tamaa. Membe alishindwa akiwa kabebwa na mwenyekiti wake, zamu hii atawezaje nje ya mbeleko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…