CCM acheni siasa za kiki, uwanja wa Taifa umeme umekatika wamefukuzwa vidagaa

CCM acheni siasa za kiki, uwanja wa Taifa umeme umekatika wamefukuzwa vidagaa

Tindo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
63,730
Reaction score
111,542
Kama sio kusaka kiki za bei rahisi ni nini? Kuchukulia hatua vidagaa wa taa uwanja wa taifa ni kama mmetuona watanzania ni wajinga, mbona kuna mgao wa umeme nchi nzima na hakuna hatua zozote wanachukuliwa hao majizi wanaosimamia nishati?

Kabla ya mvua kisingizio cha kukatika umeme ilikuwa ni ukame, je sasa hivi kisingizio ni nini wakati mvua ziko za uhakika?

Kwahiyo mmetuona watanzania tuna shida sana ya kuangalia mpira, lakini hatuna uchungu na shughuli zetu za uzalishaji kusimama kwa huduma tunayolipia? Bila kutokea machafuko hawa majizi wataendelea kutoona hamnazo.
 
Ukimsimamisha MTU kazi Wala haimuathiri sana maana salary inakua ipo TU labda allowances
 
Hii Nchi inatia huruma sana, lakini kwa mujibu wa Charles Darwin's "Origin of Species" naona ni sawa tu.

Masokwe hayawezi kujitawala
 
Ng'ombe wa mbele ndo uchelewesha msafara Cha kushangazaa kipigo anachapwa ng'ombe wa nyuma
 
Tindo ccm huwa hawafukuzani. Barua inasema wamesimamishwa kupisha uchunguzi .

Uzembe/ubadhirifu na ccm ni kama Pete na kidole. Ndiyo maana wizi uliobainishwa na CAG umepotezewa mchana kweupe.

Na kweli boss. Nimejiuliza kwanini wanawachukulia hatua watu wadogo kwa jambo dogo hivyo, wanawaacha wanaopaswa kuchukuliwa hatua kwa mambo ya msingi!
 
Kama sio kusaka kiki za bei rahisi ni nini? Kuchukulia hatua vidagaa wa taa uwanja wa taifa ni kama mmetuona watanzania ni wajinga, mbona kuna mgao wa umeme nchi nzima na hakuna hatua zozote wanachukuliwa hao majizi wanaosimamia nishati?

Kabla ya mvua kisingizio cha kukatika umeme ilikuwa ni ukame, je sasa hivi kisingizio ni nini wakati mvua ziko za uhakika?

Kwahiyo mmetuona watanzania tuna shida sana ya kuangalia mpira, lakini hatuna uchungu na shughuli zetu za uzalishaji kusimama kwa huduma tunayolipia? Bila kutokea machafuko hawa majizi wataendelea kutoona hamnazo.
Hao mataahira waliamua kutumia majenereta badala ya umeme wa Tanesco.
 
Back
Top Bottom