Nadhani Shimbo na wenzake wangewakamata mara moja akina Kikwete na makada wengine kwani wameshaweka hadharani kuwa Watamwaga damu kama wananchi watachagua Chama Pinzani, Chadema.
Wanaposema msichague wapinzani kwa sababu watamwaga damu, CCM wanas maana kuwa wataingia msituni ili kurudi madarakani.
NI ukichaa kusema at mtu anayeshinda uchaguzi ndio atamwaga damu. Mi nakwambia hii kauli itawapeleka ICC akina Kikwete mana wamesema bila kuficha! Tuwaepukeni hawa!
Wanaposema msichague wapinzani kwa sababu watamwaga damu, CCM wanas maana kuwa wataingia msituni ili kurudi madarakani.
NI ukichaa kusema at mtu anayeshinda uchaguzi ndio atamwaga damu. Mi nakwambia hii kauli itawapeleka ICC akina Kikwete mana wamesema bila kuficha! Tuwaepukeni hawa!