Elections 2010 CCM bila rushwa inawezekana?

Elections 2010 CCM bila rushwa inawezekana?

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
7,904
Reaction score
1,064
Kutokana na matukio ya hivi karibuni ya wagombea wengi katika sisi m kukamatwa wakijihusisha na rushwa, hii inatuthibitishia kuwa ni kweli sisi m imejengwa juu ya msingi wa rushwa na ni tatizo kubwa kiasi kwamba tunaweza kuona likiji reflect katika maisha ya kawaida ya viongozi na wananchi.

Na kwamba kamwe si rahisi chama hiki kuondoa rushwa katika taifa hili pamoja na majisifu yote ya kikwete?

Je si wakati muafaka wa kukinyima chama hiki maana hakitaweza kamwe kuondoa ufisadi katika taifa letu?.
 
kweli mzee. Lkn tumpe nani? Dk slaa yeye tunaambiwa katumwa na wakatoliki, sasa tukikimbia rushwa si tutakumbana na udini?
Wewe ndo uache udini kwa sababu katika kuongea kwake kote Dr. sikuwahi kusikia akizungumzia dini. Mbona hatusemi kuhusu wengine kuwa wametumwa na nani?
Tuache kufuata za tumesikia angalia kuwa unapenda rushwa iendelee au mabadiliko ya kweli Basi!
 
Kutokana na matukio ya hivi karibuni ya wagombea wengi katika sisi m kukamatwa wakijihusisha na rushwa, hii inatuthibitishia kuwa ni kweli sisi m imejengwa juu ya msingi wa rushwa na ni tatizo kubwa kiasi kwamba tunaweza kuona likiji reflect katika maisha ya kawaida ya viongozi na wananchi.


Na kwamba kamwe si rahisi chama hiki kuondoa rushwa katika taifa hili pamoja na majisifu yote ya kikwete?

Je si wakati muafaka wa kukinyima chama hiki maana hakitaweza kamwe kuondoa ufisadi katika taifa letu?.

Ni kweli Mchukia fisadi.
sisiem sawa kabisa na rushwa na ndiyo maana ili tuendelee safari yetu ni ndefu sana. Tubadilike tafadhali
 
nimseoma kupitia mtanzania. ningalifurahi kusikia dk slaa akinijibu humu
Ninaliona kuwa hao mtanzania wana lao. Au wao ndiyo wale wanaochochea udini na ukabila. Lini ulisikia yeye akisema kuhusu kutumwa?
Mbona hao akina JK hatusemi wametumwa na mafisadi na huku tukiwaona wakifanya vitu vyao hadharani.
Dr. kuwa Mkatoliki isiwape shida ni kama dini zingine, na pia hawa jamaa wameshaiondoa nchi sehemu mhimu sana, kwa discpline nzuri.
Tumpe miaka 5 tu!
 
tutamuamini vipi?
Suala la kumuamini, sidhani kuwa ulikuwa hujaona utofauti wake akiwa pale mjengoni kwa michango yake na hivi sasa ameamua kuimpliment kwa nafasi hiyo ya juu.
Mambo mengialiyaibua unataka kusema alitumwa na hao jamaa pia? Na kama walimtuma basi hao ni wakali, lakini si kwasababu ya hizo dini zao, ila ni kama wa TZ wengine tunavyoitumikia nchi. Na inamaana kama wataendelea kumtuma afanye hayo basi tutasonga mbele zaidi kuliko ilivyokuwa kwa Kambayuwayu.
na pia kwani hawa uliwaaminije? na wanatupeleka wapi?
Inaonekana wamekurushia karichmond kadogo. Wewe mpe utaona hakuna ajizi tutaruka badala ya kutambaa.
 
kweli mzee. Lkn tumpe nani? Dk slaa yeye tunaambiwa katumwa na wakatoliki, sasa tukikimbia rushwa si tutakumbana na udini?

Kwa mantiki hiyo we mgonjwa, Kikwete nae katumwa na waislam sio? Tulia, inaonesha ugonjwa wako unazidi kukuathiri!!
 
Mnawaogopa wakatoliki eeeeenh!!!!!, basi siasa za kupakana udini ndo zimeanza sasa, na huyo Kikwenga (Kikwete) basi naye katumwa na Mujahedeen aka al-shabab aka al qaeda aka siasa kali hahahahahahaha bongo raha jamani
 
Malaria sugu swali ni je sisi m bila rushwa inawezekana?
Wacha kupinda mjadala!
Maana mnakamatwa na makada wenu wenyewe.
 
Can the so called 'Mtanzania', currently be a source to refer to?! labda upande wa michezo. Hata huko na wasiwasi mkono wa RA utakuwa umepita pia.
Mchukia Fisadi, RUSHWA ni mishipa ya damu ya CCM - Hakuna rushwa hakuna ccm!
 
kweli mzee. Lkn tumpe nani? Dk slaa yeye tunaambiwa katumwa na wakatoliki, sasa tukikimbia rushwa si tutakumbana na udini?
mwenye akili kama zako aliwahi kudai Kikwete ametumwa na waislamu, lakini wakatoliki wakaumbua waislamu kuwa wao hawana akili za udini kama za kwao (waislamu) na bado wakashiriki kumchagua bila kuangalia anatoka wapi, wewe hapo UMEAMUA KUTANGAZA UDINI hakuna anayesema hivyo ila ni wewe mweneyewe akilini mwako. jifunze kuwa mwanademokrasia ni si mwanadini kwenye siasa, unadhani huyo Kikwete angekuwa amechaguliwa na waislamu wala asingekuwa raisi sasa maana angeshika nafasi ya 5 kati ya wagombea woote, wakatoloki hawana UDINI kama unavyodhani
 
tutamuamini vipi?
wewe M.S hebu nyooka na maada inachouliza,
ukileta mambo yako ya udini hapa utaumbuka, hivi unadhani wakatoliki wangekuwa wanashindana na waislamu kumuweka raisi madarakani hao waislamu wangepata hata kutawala nchi hii?
labda kwa kujilipua, maana hata kwenye kikombe hawajai, au unadhani kwasababu ya uwingi wa kelele zenu za kwenye mihadhara?
 
Malaria Sugu,
Tafadhali sana msiingie ktk akili za kitumwa. Hizi fikra za Udini ni utumwa wa mawazo na amini maneno yangu, CCM wakijaribu kutumia tiketi ya Udini watapotea kabisa kwani hata tukifuata takwimu zisizoaminika za kwamba Tanzania ina Waislaam 30+ na Wakristu 30+ na Wapagan 30.

Ifahamike tu kwamba ni rahisi zaidi kwa Wapagan kumchagua kiongozi mkristu kuliko Muislaam kwa sababu Upagan upo vijijini na wakristu ndio jirani zao huko vijijini wakati Waislaam umejikita zaidi mijini na hasa mikoa ya Pwani..Tena naweza kubisha kama Dar ina Waislaam wengi leo hii kuliko Wakristu! kwa hiyo jitahadhalini sana na matumizi ya dini ktk uchaguzi huu.
 
Malaria Sugu,
Tafadhali sana msiingie ktk akili za kitumwa. Hizi fikra za Udini ni utumwa wa mawazo na amini maneno yangu, CCM wakijaribu kutumia tiketi ya Udini watapotea kabisa kwani hata tukifuata takwimu zisizoaminika za kwamba Tanzania ina Waislaam 30+ na Wakristu 30+ na Wapagan 30.

Ifahamike tu kwamba ni rahisi zaidi kwa Wapagan kumchagua kiongozi mkristu kuliko Muislaam kwa sababu Upagan upo vijijini na wakristu ndio jirani zao huko vijijini wakati Waislaam umejikita zaidi mijini na hasa mikoa ya Pwani..Tena naweza kubisha kama Dar ina Waislaam wengi leo hii kuliko Wakristu! kwa hiyo jitahadhalini sana na matumizi ya dini ktk uchaguzi huu.
yaani maneno yako yamenifanya ni sign in ili kutoa senksi kwa maneno ya busara na ya kujenga nchi, ni matumaini yangu utaitumia busara yako hiyo kuibadili ukerewe.
 
Nimekua nikifuatilia mchakato wa CCM katika kuwani udiwani na mchakato mzima wa kuwapata wabunge watarajari wa CCM.Utaratibu mzima umeaandamana na vituko .VITUKO mtu anaelichulia swala hili kiutani lakini tukiingia ndani tunapata photocopy ya CCM kama vitendo vya namna hii vinazikabili kila hatu za mwanzo za kuwatapa viongozi vikiongozwa na rushwa na ufisadi tunategemea viongozi wapi tunaweza kuwapata kutokana na huo mchakato MADUDU MATUPU WANAUMANA WAO KWA WAO ATAKAECHAGULIWA KUPAMBANA NA WAPINZANI MBINU HIZO ZITATUMIKA DHIDI YA WAPINZANI NAZITAKUA ZIMEUNGANISHWA DHIDI YA WAPINZANI.WANANCHI NA SISI WANAJAMII TUNAPASHWA KUJIELIMISHA NA KUWAELIMISHA WALALAHOI JINSI YA MTANDAO HUO WA KIFISADI UNAVYOFANYAKAZI TUSIUZE KURA ZETU KWA PILAU T-SHIRT,KHANGA NA AHADI HEWA WANETU,WAJUKUU ZETU VITUKUU WETU WATATUSUTA KWA HAYA.MUNGU IBARIKI TANZNIA DR.SLAA MKOMBOZI WETU MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Back
Top Bottom