Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Pamoja na CCM kuwa Madarakani zaidi ya Miaka 60 bado Chama hicho hakijiamini kwenye Suala la UCHAGUZI HURU na HAKI.CCM imekuwa inatumia Vyombo vya DOLA Kushinda UCHAGUZI kama tulivyojionea UCHAGUZI wa KIHUNI wa Mwaka 2020.
Pia ni jambo la AJABU kwa CHAMA kikongwe kama CCM kuogopa Suala la KATIBA MPYA licha ya Wananchi kutaka KATIBA MPYA.Niliamini CCM kwa UKONGWE wake Ingejiamini katika UCHAGUZI na Pia KATIBA MPYA.
Bado Mwaka Jana tumeshuhudia VIONGOZI wanajiwekea KINGA najiuliza Wanaogopa nini? Kwani Wanataka kufanya nini kibaya kwa Wananchi ili WASISHTAKIWE? Mbona Marais Waliotanguliwa Hawakujiwekea Kinga?
Ni Dhahiri UKIUKWAJI wa KATIBA unaofanywa na hao VIONGOZI ndio Sababu ya Kujiwekea KINGA kwa mfano Suala la Wabunge 19 Waliofukuzwa na Chama chao lakini Bado Wapo Bungeni Wanalipwa na Mishahara wakati kwa Mujibu wa Katiba Walipaswa Wawe WAMEFUKUZWA BUNGENI.
Pia ni jambo la AJABU kwa CHAMA kikongwe kama CCM kuogopa Suala la KATIBA MPYA licha ya Wananchi kutaka KATIBA MPYA.Niliamini CCM kwa UKONGWE wake Ingejiamini katika UCHAGUZI na Pia KATIBA MPYA.
Bado Mwaka Jana tumeshuhudia VIONGOZI wanajiwekea KINGA najiuliza Wanaogopa nini? Kwani Wanataka kufanya nini kibaya kwa Wananchi ili WASISHTAKIWE? Mbona Marais Waliotanguliwa Hawakujiwekea Kinga?
Ni Dhahiri UKIUKWAJI wa KATIBA unaofanywa na hao VIONGOZI ndio Sababu ya Kujiwekea KINGA kwa mfano Suala la Wabunge 19 Waliofukuzwa na Chama chao lakini Bado Wapo Bungeni Wanalipwa na Mishahara wakati kwa Mujibu wa Katiba Walipaswa Wawe WAMEFUKUZWA BUNGENI.