Kwani CAFU walipomuwekea pingamizi mgombea wa CHADEMA Sambwee Shitambala mpaka akaenguliwa NEC kwenye uchaguzi mdogo na kumfanya mgomea wa CCM kushinda ubunge CAFU walipata nini? Wakati CAFU walijua kabisa wasingeshinda uchaguzi. Acha kuandika pumba.