CCM Discount Card




jamani huuu utapeli mbona ni wa hali ya juu sana?
Kweli CCM ni Chama Cha MAJAMBAZI

Kwa hiyo CCM wametoa subsidies! Au ndio namna ya kutekeleza ilani ya 2005 ya maisha bora kwa kila Mtanzania katika dakika za majeruhi!!
 
kweli wajinga ndio wanaoliwa ...


heri anayeliwa bila kujua kuliko anayeliwa akijua


Kalagabaho.... teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…