Pre GE2025 CCM fuateni sheria msihalalishe uvuchaji wa sheria kwa hofu za kukosa kupigiwa kura

Pre GE2025 CCM fuateni sheria msihalalishe uvuchaji wa sheria kwa hofu za kukosa kupigiwa kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Kuna vichekesho vinaendelea nchini hii vya ukiukaji wa sheria, kwa hoja za dhaifu sana eti kukosa kupigiwa kura na ujinga huyu unaongozwa na watumishi wa halmashauli kwa kuwasikiliza viongozi waliopata vyeo kwa nafasi za uteuzi, kuna hii tabia imekuwa ikifanywa na halmashauli nyingi nchini kuwaacha wafanyabiasha kujenga sehemu zisizokuwa rasmi nyakati hizi za uchaguzi mbalimbali.
_DSC2478.JPG

_DSC2473.JPG
Tabia hii uvunjaji sheria imekuwa ikifanyika na wananchi inaachwa kwa hoja ya kupigiwa kura lakini baada ya uchaguzi kumaliza watumishi na serikali ya CCM hurejea kuwavunja wafanyabiasha ambao kwa sasa wanawaona wanavunja Sheria ila kwa sababu ccm inatafuta huruma ya kupata kura wanawaacha alf baadde wanakuja kuwasababishia hasara kubwa watanzania kwa kuendesha bomoabomoa kwa kugezo kuwa wamejenga sehemu sio sahihi.
_DSC2472.JPG
Mfano nimechukua mkoa wa Dodoma ambapo kumejengwa soko la machinga lakini kwa sasa wafanyabiasha wameanza kuzagaa mitaani na mamlaka zimekuwa zikiwaangalia tu, lakini sababu kubwa ni Hofu za uchaguzi, CCM acheni huruma ya kutafuta kupigiwa kura kwa kuacha makosa yafanyike alf Baade msababishe hasara na usumbufu kwa wananchi.
_DSC2475.JPG
Kuna eneo linatwa njia ya panda ya area c, hapa kwa sasa imekuwa stendi ndogo ya kupakia na kushusha abaria ene ili limewekwa banco nabiça kuwa hakuna shughuri zinaruhusiwa, kama biashara, kupaki magari lakini kwa kuwa ccm inatafuta huruma kwenye chaguzi wameacha sheria zivunjwe na baada ya uchaguzi watakuja kuwaondoa wananchi eneo kwa Nguvu, ccm na Mkurungenzi wa jiji la Dodoma simamieni Sheria kikao chenu na Mkuu wa Mkoa kuwa "waacheni tutakosa kura" ni woga amjiamini

Mpango wenu kuwa mtaendesha bomoabomoa baada ya uchaguzi 2025 tumeshaujua kina madeleka mjiandae tu mtatueleza kisheria.
_DSC2477.JPG

 

Attachments

  • _DSC2473.JPG
    _DSC2473.JPG
    602 KB · Views: 3
Back
Top Bottom