Pre GE2025 CCM haijawahi kukanusha hizi kauli(video)

Pre GE2025 CCM haijawahi kukanusha hizi kauli(video)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513

Tuelewane
  1. CCM ndiyo huamua inflation na siyo vinginevyo
  2. CCM ndiyo huzuia mzunguko wa fedha
  3. CCM ndiyo inayoamua wapi umeme uende na wapi usiende
  4. CCM ndo huamua upatikanaji wa maji na hususan kata kata ya maji
  5. CCM imejionesha kwenye sakata la TotoCard za NHIF
  6. CCM imejionesha vyema kwenye mkataba ws DP World
  7. CCM inawaswaga wamasai kutoka ardhi yao ya asili ili kupisha wawekezaji wa kigeni
  8. CCM inalinda kikosikazi cha utekaji na uuaji ndani ya polisi
  9. CCM ilijionesha na kulinda utoroshwaji wa rasilimali zetu wakiwemo wanyamapori
  10. CCM imedhibiti na kuzuia ripoti ya CAG kushughulikiwa
  11. n.k
Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah chiembe Njoeni mjibu hapa huku mkiburudika na video pendwa
 
View attachment 3077821
Tuelewane
  1. CCM ndiyo huamua inflation na siyo vinginevyo
  2. CCM ndiyo huzuia mzunguko wa fedha
  3. CCM ndiyo inayoamua wapi umeme uende na wapi usiende
  4. CCM ndo huamua upatikanaji wa maji na hususan kata kata ya maji
  5. CCM imejionesha kwenye sakata la TotoCard za NHIF
  6. CCM imejionesha vyema kwenye mkataba ws DP World
  7. CCM inawaswaga wamasai kutoka ardhi yao ya asili ili kupisha wawekezaji wa kigeni
  8. CCM inalinda kikosikazi cha utekaji na uuaji ndani ya polisi
  9. CCM ilijionesha na kulinda utoroshwaji wa rasilimali zetu wakiwemo wanyamapori
  10. CCM imedhibiti na kuzuia ripoti ya CAG kushughulikiwa
  11. n.k
Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah chiembe Njoeni mjibu hapa huku mkiburudika na video pendwa
Ndiyo wanaleta hata ukame, mafuriko, utekaji na yanayofanana na hayo
 
View attachment 3077821
Tuelewane
  1. CCM ndiyo huamua inflation na siyo vinginevyo
  2. CCM ndiyo huzuia mzunguko wa fedha
  3. CCM ndiyo inayoamua wapi umeme uende na wapi usiende
  4. CCM ndo huamua upatikanaji wa maji na hususan kata kata ya maji
  5. CCM imejionesha kwenye sakata la TotoCard za NHIF
  6. CCM imejionesha vyema kwenye mkataba ws DP World
  7. CCM inawaswaga wamasai kutoka ardhi yao ya asili ili kupisha wawekezaji wa kigeni
  8. CCM inalinda kikosikazi cha utekaji na uuaji ndani ya polisi
  9. CCM ilijionesha na kulinda utoroshwaji wa rasilimali zetu wakiwemo wanyamapori
  10. CCM imedhibiti na kuzuia ripoti ya CAG kushughulikiwa
  11. n.k
Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah chiembe Njoeni mjibu hapa huku mkiburudika na video pendwa
huo ni upotoshaji wa wazi wazi, yafaa kupuuzwa tu maana hauna maana yoyote...

CCM imara ina utaratibu wa kujitahimini, kujisahihisha na kujirkebisha kila baada ya wakati muafaka...

CCM haifanyi maombo ya maendeleo kwa kwa miujiza. ni kwa mipango mikakati madhubuti na kwa bajeti maalumu na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

sasa unapinga bajeti ya maji katika eneo lako, halafu baadae unakuja kulalamika hakuna maji eneo lako 🐒
huo ni ushirikina ndrugu zango?....

CCM ni muunganiko wa waTanzania wazalendo, wenye nia na dhamira moja ya kuleta mageuzi ya kweli kisiasa, kijamii na kiuchumi 🐒

na chini ya mwenyekiti wake madhubuti Taifa Dr.Samia Suluhu Hassan, nchi ni tulivu, amani imetawala, mambo ni Bam Bam kila pembe ya nchi 🐒
 
huo ni upotoshaji wa wazi wazi, yafaa kupuuzwa tu maana hauna maana yoyote...

CCM imara ina utaratibu wa kujitahimini, kujisahihisha na kujirkebisha kila baada ya wakati muafaka...

CCM haifanyi maombo ya maendeleo kwa kwa miujiza. ni kwa mipango mikakati madhubuti na kwa bajeti maalumu na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

sasa unapinga bajeti ya maji katika eneo lako, halafu baadae unakuja kulalamika hakuna maji eneo lako 🐒
huo ni ushirikina ndrugu zango?....

CCM ni muunganiko wa waTanzania wazalendo, wenye nia na dhamira moja ya kuleta mageuzi ya kweli kisiasa, kijamii na kiuchumi 🐒

na chini ya mwenyekiti wake madhubuti Taifa Dr.Samia Suluhu Hassan, nchi ni tulivu, amani imetawala, mambo ni Bam Bam kila pembe ya nchi 🐒
Bajeti ya maji
Bajeti ya umeme

Hebu tuelezee ufanisi wake tangu uhuru
 
Maendeleo hayaletwi na chama,yanaletwa na watu.


Fika chato utanielewa
 
Bajeti ya maji
Bajeti ya umeme

Hebu tuelezee ufanisi wake tangu uhuru
ndio maana hapo ulipo umeoga vizuri, umevaa nguo safi zinazofuliwa mara kwa mara kwasabb maji ni bwerere ya uhakika,

zaidi sana umepiga pasi vizuri mno kwasabb nishati ya umeme ni uhakika mijini na vijijini, lakini pia uko full charge kwenye simu na computer, na kinywaji baridi unachokunywa aiseee nyie dah 🐒
 
Nimechimba kisima. Sina maji ya hadaa
mazingira mazuri ya kujipatia kipato cha ziada yamekuwezesha kufanya yote hayo, na hiyo ni kazi nzuri na ya maana sana ilofanywa na serikali sikivu ya CCM chini ya Dr Samia suluhu Hassan,🐒
 
Back
Top Bottom