CCM haikuruhusu mfumo wa vyama vingi ili siku moja itolewe madarakani

CCM haikuruhusu mfumo wa vyama vingi ili siku moja itolewe madarakani

MGOGOHALISI

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
3,294
Reaction score
4,920
Ndiyo. CCM iliona hatari ya nchi kunyimwa misaada na wahisani ikaamua kubumba huu mfumo ili mwanaharamu apite. CCM haitaruhusu kupokwa madaraka yake kwa siku hizi za karibuni.
 
Back
Top Bottom