CCM haitatamalaki katika utukufu tena

CCM haitatamalaki katika utukufu tena

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Sikumbuki ni lini baada ya uchafuzi mkubwa wa kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM ilisikika tena popote! Hata matukio ya kutengenezwa ili kuiweka ccm kwenye ramani ya mijadala yalikufa mimba changa...
CCM imeumilaliza mwaka 2024 kinyonge na kwa udhaifu mkubwa.. Bila nuru usoni wala matumaini ya ule urijali wake wa kibabe

Bundi ametua kwenye paa la chama chawala.. Bundi ni ndege awezaye kunusa harufu ya kifo toka mbali kwenye nyumba yenye mgonjwa anayeelekea kifoni.. Bundi huja kuweka kikao karibu na hapo akitarajia mzoga wa marehemu baada ya kifo

Kwa spidi ile ile mwaka 2024 umelala na CHADEMA na kwa spidi ile ile mwaka 2025 umeamka na CHADEMA..kama ni upper punches na knockouts CCM mbele ya CHADEMA imezipata za kutosha sana.. Basi tu ni kwa vile refa ana huruma nyingi na mbeleko kubwa. Lakini tayari muda huu CHADEMA wangeshavikwa taji lao
Hakuna tena kitu kinaitwa ccm midomoni mwa watu hasa Watanganyika..

Hata makada wake maarufu mitandaoni na nje ya mitandao wote wametekwa na kimbunga kikali cha CHADEMA!

Hizi ni dalili za anguko kuu na la mwisho la kilichowahi kujulikana kama CHAMA Dume mbabe wa fitina na majungu

Hakuna tena kitakachoirudisha CCM hewani maana tayari jahazi lake linaishia kuzama na kama ni mgonjwa ni yule mahututi anayepigania pumzi yake ya mwisho isitoke kwa maumivu

CHADEMA KIMEIFUTURU CCM BILA BISMILLAH..!

sucker punch 👌🏿
1736663437258.jpg
 
Sikumbuki ni lini baada ya uchafuzi mkubwa wa kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM ilisikika tena popote! Hata matukio ya kutengenezwa ili kuiweka ccm kwenye ramani ya mijadala yalikufa mimba changa...
CCM imeumilaliza mwaka 2024 kinyonge na kwa udhaifu mkubwa.. Bila nuru usoni wala matumaini ya ule urijali wake wa kibabe
Bundi ametua kwenye paa la chama chawala.. Bundi ni ndege awezaye kunusa harufu ya kifo toka mbali kwenye nyumba yenye mgonjwa anayeelekea kifoni.. Bundi huja kuweka kikao karibu na hapo akitarajia mzoga wa marehemu baada ya kifo

Kwa spidi ile ile mwaka 2024 umelala na CHADEMA na kwa spidi ile ile mwaka 2025 umeamka na CHADEMA..kama ni upper punches na knockouts CCM mbele ya CHADEMA imezipata za kutosha sana.. Basi tu ni kwa vile refa ana huruma nyingi na mbeleko kubwa .. Lakini tayari muda huu CDM wangeshavikwa taji lao
Hakuna tena kitu kinaitwa ccm midomoni mwa watu hasa Watanganyika.. Hata makada wake maarufu mitandaoni na nje ya mitandao wote wametekwa na kimbunga kikali cha CDM!
Hizi ni dalili za anguko kuu na la mwisho la kilichowahi kujulikana kama CHAMA Dume mbabe wa fitina na majungu
Hakuna tena kitakachoirudisha ccm hewani maana tayari jahazi lake linaishia kuzama na kama ni mgonjwa ni yule mahututi anayepigania pumzi yake ya mwisho isitoke kwa maumivu
CHADEMA KIMEIFUTURU CCM BILA BISMILLAH..!
sucker punch 👌🏿View attachment 3202263
infact,
wasio na matumaini wanaweza kufarijika na mawaidha yako gentleman. hata hivyo ni vizuri kupeana moyo namna hiyo,

lakini wale wenye uhakika, mara zote huwa na subra mpaka wakati muafaka utakapowadia na kurejea kwenye nafasi zeo kiulaini na kwa uhakika zaidi 🐒

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mungu bariki Uchaguzi wa Chadema Taifa licha ya majeraha makubwa ya kujitakia waliyonayo 🐒
 

Attachments

  • IMG-20250114-WA0024.jpg
    IMG-20250114-WA0024.jpg
    54.1 KB · Views: 4
Habari ya asubuhi wanaJF.

Kwa umoja wetu naomba tumpe pole mleta mada, Kwakweli ccm inamtesa huyu mtu kuliko kitu chochote kile. Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, punguza spidi hiyo Kuna wazee utawaua Huku.

Unahitaji 'F' Moja tu ya kiswahili au maarifa ya jamii kuelewa mateso makali ya mleta mada. Unahitaji 'A' 7 za physics, maths, chemistry, biology, geography, agriculture, BAM na book keeping Ili kuielewa mikakati ya ccm. Ikipungua hata Moja katika hizo, utaishia kubwabwaja bwabwaja tu.
 
Pengine utukufu wa sasa ni mkubwa kuliko ule wa awali.

Ni wewe tu na mawenge yako
Dada yangu nikiwaangalia Chadema ni kama watu waliorukwa na akili.

Ccm imeshinda serikali za mitaa kwa 98% sasa ije mitandaoni kutukanana na vichaa kutafuta nini?

General election Samia anakwenda kushinda kwa kura nyingi, japo siipendi ccm ila huo ndio ukweli wenyewe.

Kosa kubwa Chadema wamelifanya uchaguzi wao wa ndani kuwa mwaka huohuo na uchaguzi mkuu, damage itakayotokea hata kupata Wabunge ni issue, Urais wasahau kabisa.

Ccm ni master wa siasa, wanaweka uchaguzi wa serikali za mitaa kwanza kupima upepo, halafu ndio unakuja uchaguzi mkuu, wakimaliza kushija doka ndio wanakuja uchaguzi wa chama.

Ccm bado ipo sanaaa madarakani.
 
Sikumbuki ni lini baada ya uchafuzi mkubwa wa kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM ilisikika tena popote! Hata matukio ya kutengenezwa ili kuiweka ccm kwenye ramani ya mijadala yalikufa mimba changa...
CCM imeumilaliza mwaka 2024 kinyonge na kwa udhaifu mkubwa.. Bila nuru usoni wala matumaini ya ule urijali wake wa kibabe

Bundi ametua kwenye paa la chama chawala.. Bundi ni ndege awezaye kunusa harufu ya kifo toka mbali kwenye nyumba yenye mgonjwa anayeelekea kifoni.. Bundi huja kuweka kikao karibu na hapo akitarajia mzoga wa marehemu baada ya kifo

Kwa spidi ile ile mwaka 2024 umelala na CHADEMA na kwa spidi ile ile mwaka 2025 umeamka na CHADEMA..kama ni upper punches na knockouts CCM mbele ya CHADEMA imezipata za kutosha sana.. Basi tu ni kwa vile refa ana huruma nyingi na mbeleko kubwa. Lakini tayari muda huu CHADEMA wangeshavikwa taji lao
Hakuna tena kitu kinaitwa ccm midomoni mwa watu hasa Watanganyika..

Hata makada wake maarufu mitandaoni na nje ya mitandao wote wametekwa na kimbunga kikali cha CHADEMA!

Hizi ni dalili za anguko kuu na la mwisho la kilichowahi kujulikana kama CHAMA Dume mbabe wa fitina na majungu

Hakuna tena kitakachoirudisha CCM hewani maana tayari jahazi lake linaishia kuzama na kama ni mgonjwa ni yule mahututi anayepigania pumzi yake ya mwisho isitoke kwa maumivu

CHADEMA KIMEIFUTURU CCM BILA BISMILLAH..!

sucker punch 👌🏿View attachment 3202263
Itakuwa ni laana ya kuwadhalilisha hata Wazee walioisaidia kwenye Vimbunga vya Mrema na Lipumba Enzi hizo 😳 !

Ngoja Tusubiri tuone !
 
Sikumbuki ni lini baada ya uchafuzi mkubwa wa kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM ilisikika tena popote! Hata matukio ya kutengenezwa ili kuiweka ccm kwenye ramani ya mijadala yalikufa mimba changa...
CCM imeumilaliza mwaka 2024 kinyonge na kwa udhaifu mkubwa.. Bila nuru usoni wala matumaini ya ule urijali wake wa kibabe

Bundi ametua kwenye paa la chama chawala.. Bundi ni ndege awezaye kunusa harufu ya kifo toka mbali kwenye nyumba yenye mgonjwa anayeelekea kifoni.. Bundi huja kuweka kikao karibu na hapo akitarajia mzoga wa marehemu baada ya kifo

Kwa spidi ile ile mwaka 2024 umelala na CHADEMA na kwa spidi ile ile mwaka 2025 umeamka na CHADEMA..kama ni upper punches na knockouts CCM mbele ya CHADEMA imezipata za kutosha sana.. Basi tu ni kwa vile refa ana huruma nyingi na mbeleko kubwa. Lakini tayari muda huu CHADEMA wangeshavikwa taji lao
Hakuna tena kitu kinaitwa ccm midomoni mwa watu hasa Watanganyika..

Hata makada wake maarufu mitandaoni na nje ya mitandao wote wametekwa na kimbunga kikali cha CHADEMA!

Hizi ni dalili za anguko kuu na la mwisho la kilichowahi kujulikana kama CHAMA Dume mbabe wa fitina na majungu

Hakuna tena kitakachoirudisha CCM hewani maana tayari jahazi lake linaishia kuzama na kama ni mgonjwa ni yule mahututi anayepigania pumzi yake ya mwisho isitoke kwa maumivu

CHADEMA KIMEIFUTURU CCM BILA BISMILLAH..!

sucker punch 👌🏿View attachment 3202263
 

Attachments

  • 5929282-43d7e58f930fba84b8de7085be6f9086.mp4
    19.9 MB
infact,
wasio na matumaini wanaweza kufarijika na mawaidha yako gentleman. hata hivyo ni vizuri kupeana moyo namna hiyo,

lakini wale wenye uhakika, mara zote huwa na subra mpaka wakati muafaka utakapowadia na kurejea kwenye nafasi zeo kiulaini na kwa uhakika zaidi 🐒

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mungu bariki Uchaguzi wa Chadema Taifa licha ya majeraha makubwa ya kujitakia waliyonayo 🐒
IMG-20250115-WA0040.jpg
 
Habari ya asubuhi wanaJF.

Kwa umoja wetu naomba tumpe pole mleta mada, Kwakweli ccm inamtesa huyu mtu kuliko kitu chochote kile. Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, punguza spidi hiyo Kuna wazee utawaua Huku.

Unahitaji 'F' Moja tu ya kiswahili au maarifa ya jamii kuelewa mateso makali ya mleta mada. Unahitaji 'A' 7 za physics, maths, chemistry, biology, geography, agric

ulture, BAM na book keeping Ili kuielewa mikakati ya ccm. Ikipungua hata Moja katika hizo, utaishia kubwabwaja bwabwaja tu.
 
Back
Top Bottom