CCM hakukaliki hakulaliki chombo kinajiendea tu

CCM hakukaliki hakulaliki chombo kinajiendea tu

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
 
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Na ile mimavi aliyokunya toto pendwa juzi ndiyo imezidi kukinukisha chama. Sisi yetu macho
 
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Mungu ayfyeke yote haya majangili
 
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Si miaka 6, ni Mitano na miezi 4.
 
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Thibitisha.
 
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Shabalabagala ndiyo mdudu gani?

Samahani lakini!
 
CCM Siyo chama cha mchezo kama unavyodhania dada!
 
The Second Coming

BY WILLIAM BUTLER YEATS

Turning and turning in the widening gyre
The falcon cannot hear the falconer;
Things fall apart; the centre cannot hold;
Mere anarchy is loosed upon the world,
The blood-dimmed tide is loosed, and everywhere
The ceremony of innocence is drowned;
The best lack all conviction, while the worst
Are full of passionate intensity.

Surely some revelation is at hand;
Surely the Second Coming is at hand.
The Second Coming! Hardly are those words out
When a vast image out of Spiritus Mundi
Troubles my sight: somewhere in sands of the desert
A shape with lion body and the head of a man,
A gaze blank and pitiless as the sun,
Is moving its slow thighs, while all about it
Reel shadows of the indignant desert birds.
The darkness drops again; but now I know
That twenty centuries of stony sleep
Were vexed to nightmare by a rocking cradle,
And what rough beast, its hour come round at last,
Slouches towards Bethlehem to be born?
 
CCM itajipasua yenyewe ama Nguvu ya umma itaipasau CCM ila sio CHAMA PINZANI
 
Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Kuna rafiki yangu anayepata riziki yake kwenye korido za Lumumba ananiambia leo ni mwendo wa kupigiana simu tu na kupanga miadi ya vikao vya siri.
 
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
nimeona mwigulu matai kapost bandiko refu sana🤣 watu wanacomment wana muuliza , mkuu si ungesubiri kwanza orodha, acha iendelee kuwaka hivi hivi
 
CCM itajipasua yenyewe ama Nguvu ya umma itaipasau CCM ila sio CHAMA PINZANI
Anayeamua yote ni nguvu ya umma, ukiona mpinzania kashika dola ujue ni nguvu ya umma , wananchi wasipozinduka hawa ccm tunao sana, wakizinduka watakuja wengine kupokea kijiti
 
We nawe!

Sio kwamba hapakaliki huku kwetu,no kwamba wale jamaa wameanza mambo yao,yaani zitatengenezwa timu nyingiiii,yaani timu Kanda ya ziwa,Kanda ya kati,Kanda ya pwani halafu na hiyo mkojani fc!!

Sasa bas wanataka wavuruganeee mwisho was siku utasikia "Mwenyekiti Hali ni mbaya ,Ili tuweke mambo sawa hebu Kaa pembeni Ili kuokoa chama""ndipo Kwa shingo upande atakubali yaishe!!!
 
Heshima sana wanajamvi,

Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.
Kama wanauthubutu huo waambie wachukue form zaidi yake tuone mtanange.

Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Kumpandisha mbwa juu ya mti inawezekana, vipi kuhusu kumshusha? Ni mpaka aamue mwenyewe au unatoa mwili wake (tena)?

Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Hivi wazee waliobaki CCM ni akina nani apart from Mzee Kikwete, Mangula… Pinda? Wasirra?

Nyakati kweli hazidumu.

Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Hawa Jamaa ni Kama wanalazimishiwa hili zigo la Misumari? Kwanini?

Hao wahusika wanaotaka kuendelea kufaidi hawawezi kuendelea na mipango yao bila kuwahusisha watu kutoka ziwani?

Umuhimu wao kwenye Siasa za JMT ni upi? Kwa kulinganisha na watanzania wengine kutoka maeneo mengine?

Ngongo kwasasa Kisiwandui.
 
Back
Top Bottom