Na ile mimavi aliyokunya toto pendwa juzi ndiyo imezidi kukinukisha chama. Sisi yetu machoHeshima sana wanajamvi,
Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Mungu ayfyeke yote haya majangiliHeshima sana wanajamvi,
Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Mbona akina chawa wa mama wanasema ni lazima mi5 tena kwa mama?!Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Si miaka 6, ni Mitano na miezi 4.Heshima sana wanajamvi,
Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Thibitisha.Heshima sana wanajamvi,
Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Shabalabagala ndiyo mdudu gani?Heshima sana wanajamvi,
Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Kuna rafiki yangu anayepata riziki yake kwenye korido za Lumumba ananiambia leo ni mwendo wa kupigiana simu tu na kupanga miadi ya vikao vya siri.Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
nimeona mwigulu matai kapost bandiko refu sana𤣠watu wanacomment wana muuliza , mkuu si ungesubiri kwanza orodha, acha iendelee kuwaka hivi hiviHeshima sana wanajamvi,
Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Anayeamua yote ni nguvu ya umma, ukiona mpinzania kashika dola ujue ni nguvu ya umma , wananchi wasipozinduka hawa ccm tunao sana, wakizinduka watakuja wengine kupokea kijitiCCM itajipasua yenyewe ama Nguvu ya umma itaipasau CCM ila sio CHAMA PINZANI
Kama wanauthubutu huo waambie wachukue form zaidi yake tuone mtanange.Heshima sana wanajamvi,
Huko CCM mambo yamekuwa mambo nahodha haheshimiki tena kila mmoja na lwake.
Kumpandisha mbwa juu ya mti inawezekana, vipi kuhusu kumshusha? Ni mpaka aamue mwenyewe au unatoa mwili wake (tena)?Wote wanataka nafasi ya nahodha wanasema muda wake umeshapita keshakula vya kutosha atuachie na sisi tujinafasi kwa wakati wetu.
Hivi wazee waliobaki CCM ni akina nani apart from Mzee Kikwete, Mangula⦠Pinda? Wasirra?Wazee wanateseka kuweka mambo sawa,muda si rafiki tena mambo yanaenda shabalabagala.
Hawa Jamaa ni Kama wanalazimishiwa hili zigo la Misumari? Kwanini?Wanazi wa Kanda pendwa wanalalama hawakufaidi vizuri matunda ya kijana wao,wanadai walitamba kwa miaka sita bado miaka minne.
Ngongo kwasasa Kisiwandui.
Na lazima watamjibu maana kawajambisha mawaziri woteNa ile mimavi aliyokunya toto pendwa juzi ndiyo imezidi kukinukisha chama. Sisi yetu macho