Chama kubwa watu matumbo yanasokota mda huu maana jina litarudi? swali hili mpaka watu wengine wakiwaza kidogo wanaishia kunywa pombe tu. mpaka inafika hatua ya kumwita mtu yesu ni hatari sana. ngoja wafundishwe jambo jipya.Hakuna uchaguzi wala msajili huwezi kumuona anga hizo
Wajinga snchama kubwa watu matumbo yanasokota mda huu maana jina litarudi? swali hili mpaka watu wengine wakiwaza kidogo wanaishia kunywa pombe tu. mpaka inafika hatua ya kumwita mtu yesu ni hatari sana. ngoja wafundishwe jambo jipya
Yakwako ipo wapiJiongeze kidooogo, kachukue akili yako lumumba
Bernad ni mwanaCcm? Au kichwani ni empty?wana CCM wanalilia matumboni mwao hawana pa kusemea.. walau Bernard kavunja ukimya.
huna akili ww, umesahau kuwa huu ndo uchaguz wake wa kwanza kwa wabunge akiwa mwenyekiti, ile aliongelea utaratibu uliopo ndan ya chama kwa chaguzi zilizopita.. kuongoza kwa kura hakukufanyi uwe mbunge.".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
Mmeanza kuhamisha magoli, juzi tu mliandika Sana kuponda demokrasia ndani ya chademaReturn Of Undertaker,
Nitajie chama kimoja tu unachokiona wewe kina hiyo unayoita demokrasia mm naona vyote kikiwemo hicho cha ccm sera zao ni zidumu fkra za Mwenyekiti.
tatizo wengine mmeanza kufuatilia siasa juzi nimesema nitajiwe chama gani chenye demokrasia badala ya kujibu swali langu unaleta ufyokoMmeanza kuhamisha magoli, juzi tu mliandika Sana kuponda demokrasia ndani ya chadema
".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
Anategemea kupitisha kupitia vyombo vyake Kama time, polisi ,jeshi na mahakama