CCM:Hamtabaki salama kama mkifanikiwa kuchakachua maoni ya watanzania ktk katiba mpya

CCM:Hamtabaki salama kama mkifanikiwa kuchakachua maoni ya watanzania ktk katiba mpya

Joined
Feb 19, 2013
Posts
73
Reaction score
12
Ni wazi kabisa ccm imejipanga kuvuruga mchakato wa katiba mpya kwa kulazimisha maoni ya CCM ndio maoni ya watanzania wote.Naomba CCM itambue iko siku moja wataondoka madarakani kwa hiyo iache kutanguliza maslahi ya chama mbele badala taifa ,

Huko ni kuwasaliti wà tanzania.Dhambi wanayotaka kuifanya CCM haita waacha hivihivi na uhakika itawatafuna kizazi nakizazi.Naomba Mungu awalaani CCM kwa njama zao mbaya za kuchakachua maoni ya wananchi katika mchakato wakupata Katiba Mpya.

AMEN!
 
Tunataka Katiba Mpya itakayo tanguliza utu wa taifa letu mbele na sio maslahi ya Mabeberu wa nje na ndani ya Tanzania.Haki ya Mungu naapa CCM Mkifanikiwa kuchakachua Katiba mpya mjue Mungu atawalaani nyinyi na vizazi vyenu vyote,nilazima kama mnataka usalama mfuate maoni ya wananchi wengi.
 
na nyie watanzania mmelala sana,kwani kuwatoa hao watu wachache wanaotaka kuvuruga nchi nzima tunashindwa?mpo tayari au mnapenda tu kulaumu?
 
....jamani wa tz vipi!,mnatengeneza katiba ya nchi...mliunda tume ya kukusanya maoni iliyokuwa na wataalamu mbali mbali,wakasafiri kila kona ya ardhi hii,wa tz wakatoa maoni yao...so hayo ya kwenu mnayokuja nayo mmeyatoa wapi?...jukumu la bunge la katiba si kubadilisha maudhui ya katiba bali ni kuboresha tu...so hatutaki kusiki ohoooo serikali 2, ohoooo serikali 1...tayari rasimu inasema serikali 3 so wao wajikite kuboresha hoja ya serikali 3 na si vinginevyo...jamani wajumbe mnanielewa kazi yenu ni kuboresha....na itakuwa vizuri mkiifanya kwa muda mchache ili taifa isitumie hela nyingi.
 
Ni wazi kabisa ccm imejipanga kuvuruga mchakato wa katiba mpya kwa kulazimisha maoni ya CCM ndio maoni ya watanzania wote.Naomba CCM itambue iko siku moja wataondoka madarakani kwa hiyo iache kutanguliza maslahi ya chama mbele badala taifa ,huko ni kuwasaliti wà tanzania.Dhambi wanayotaka kuifanya CCM haita waacha hivihivi na uhakika itawatafuna kizazi nakizazi.Naomba Mungu awalaani CCM kwa njama zao mbaya za kuchakachua maoni ya wananchi katika mchakato wakupata Katiba Mpya.AMEN!

Tumechoka na maneno ya kipumbavu kama haya. Kama vipi CCM chakachukueni tu tuone watafanyaje, hivi kila siku tutakaa kujadili hoja mfu kama hizi.
 
....jamani wa tz vipi!,mnatengeneza katiba ya nchi...mliunda tume ya kukusanya maoni iliyokuwa na wataalamu mbali mbali,wakasafiri kila kona ya ardhi hii,wa tz wakatoa maoni yao...so hayo ya kwenu mnayokuja nayo mmeyatoa wapi?...jukumu la bunge la katiba si kubadilisha maudhui ya katiba bali ni kuboresha tu...so hatutaki kusiki ohoooo serikali 2, ohoooo serikali 1...tayari rasimu inasema serikali 3 so wao wajikite kuboresha hoja ya serikali 3 na si vinginevyo...jamani wajumbe mnanielewa kazi yenu ni kuboresha....na itakuwa vizuri mkiifanya kwa muda mchache ili taifa isitumie hela nyingi.

Tofauti kati ya Kuboresha na kubadili ni nini?
 
....jamani wa tz vipi!,mnatengeneza katiba ya nchi...mliunda tume ya kukusanya maoni iliyokuwa na wataalamu mbali mbali,wakasafiri kila kona ya ardhi hii,wa tz wakatoa maoni yao...so hayo ya kwenu mnayokuja nayo mmeyatoa wapi?...jukumu la bunge la katiba si kubadilisha maudhui ya katiba bali ni kuboresha tu...so hatutaki kusiki ohoooo serikali 2, ohoooo serikali 1...tayari rasimu inasema serikali 3 so wao wajikite kuboresha hoja ya serikali 3 na si vinginevyo...jamani wajumbe mnanielewa kazi yenu ni kuboresha....na itakuwa vizuri mkiifanya kwa muda mchache ili taifa isitumie hela nyingi.

wewe unaiona tume ya Waryoba ndiyo ya maana sana, Wajumbe wa Bunge la Katiba ni zaidi, linajumuisha hata watanzania kutoka nje ya nchi na wao hawajahojiwa.
 
Tunataka Katiba Mpya itakayo tanguliza utu wa taifa letu mbele na sio maslahi ya Mabeberu wa nje na ndani ya Tanzania.Haki ya Mungu naapa CCM Mkifanikiwa kuchakachua Katiba mpya mjue Mungu atawalaani nyinyi na vizazi vyenu vyote,nilazima kama mnataka usalama mfuate maoni ya wananchi wengi.

Kuna watu humu CCM ikibadili vipengele vyote lakini ikawachia serikali tatu mtaona sawa tu, Katiba siyo serikali tatu , mkae mkijua.
 
ccm ndo wamejaza wajumbe wengi wa ccm wanashindwa kuelewa kuwa katiba ni mali ya wananchi siyo mali ya hawa mafisadi hawa ccm wezi wakubwa
 
....jamani wa tz vipi!,mnatengeneza katiba ya nchi...mliunda tume ya kukusanya maoni iliyokuwa na wataalamu mbali mbali,wakasafiri kila kona ya ardhi hii,wa tz wakatoa maoni yao...so hayo ya kwenu mnayokuja nayo mmeyatoa wapi?...jukumu la bunge la katiba si kubadilisha maudhui ya katiba bali ni kuboresha tu...so hatutaki kusiki ohoooo serikali 2, ohoooo serikali 1...tayari rasimu inasema serikali 3 so wao wajikite kuboresha hoja ya serikali 3 na si vinginevyo...jamani wajumbe mnanielewa kazi yenu ni kuboresha....na itakuwa vizuri mkiifanya kwa muda mchache ili taifa isitumie hela nyingi.

Tofauti kati ya Kubadili na kuboresha ni nini?
 
Ni wazi kabisa ccm imejipanga kuvuruga mchakato wa katiba mpya kwa kulazimisha maoni ya CCM ndio maoni ya watanzania wote.Naomba CCM itambue iko siku moja wataondoka madarakani kwa hiyo iache kutanguliza maslahi ya chama mbele badala taifa ,

Huko ni kuwasaliti wà tanzania.Dhambi wanayotaka kuifanya CCM haita waacha hivihivi na uhakika itawatafuna kizazi nakizazi.Naomba Mungu awalaani CCM kwa njama zao mbaya za kuchakachua maoni ya wananchi katika mchakato wakupata Katiba Mpya.

AMEN!

Sasa kama ni wazi tatizo liko wapi, mimi nilifikiri wanabadili kwa kujificha?
 
Ccm sio wanachi kuwa hawaruhusiwi kutoa maoni yao?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom