sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Ni kweli CCM haina hazina ya wanachama bali wanavikundi vya kusifu na kuabudu ambavyo vimejaa vijana wengi Machawaa lakini hawana weredi wowote?
Je, ingekuwa na hazina isingekuwa inarudia kuteua wale ilio watema mwanzoni.
Hii haitoshi kudhibitisha hilo?
Je, ingekuwa na hazina isingekuwa inarudia kuteua wale ilio watema mwanzoni.
Hii haitoshi kudhibitisha hilo?