Chalii Wa Kipare
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 462
- 907
Kwa hizi kauli kwamba Mtandao wa Twitter X ifungiwe, nikudhihirisha CCM hawana uwezo wa hoja tena. Ndio sababu kukimbilia kufunga Majukwaa ya ukosoaji. Kwanamna CCM ilivyo, sio chama cha siasa tena bali Genge la Wahuni tu lakutafuna Nchi.
Pauline Gekul alitia mtu chupa matokoni, RC mmoja naye kimlawiti bint huko, lakini huoni hatua zikichukiliwa zaidi ya kuwalinda Wahalifu.
Sasa jiulize, CCM ni chama cha siasa au Genge la Wahuni? Watanganyika, hivi tutaamka lini? Mpaka kila mtu dadaake alawitiwe au kakaake awekwe chupa matokoni ndio tuamke?
Mali zetu zote kama Taifa zinatapanywa kama Ndugu tupo tu, nawasiliaha kwenu ndugu zangu tujadili kwa pamoja.
Pauline Gekul alitia mtu chupa matokoni, RC mmoja naye kimlawiti bint huko, lakini huoni hatua zikichukiliwa zaidi ya kuwalinda Wahalifu.
Sasa jiulize, CCM ni chama cha siasa au Genge la Wahuni? Watanganyika, hivi tutaamka lini? Mpaka kila mtu dadaake alawitiwe au kakaake awekwe chupa matokoni ndio tuamke?
Mali zetu zote kama Taifa zinatapanywa kama Ndugu tupo tu, nawasiliaha kwenu ndugu zangu tujadili kwa pamoja.