technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Halafu kuna utitiri wa watoto wadogo wakiwa mbele kabisa karibu na jukwaa wakishuhudia uchafu.Ndio maendeleo mnayotaka kuleta kwa kuzalilishana majukwaani kiasi hiki tena mbele ya mgombea Urais wenu.
Na yeye anabariku huu uhuni wa wanawake kufanyiwa uhuni na wanaume mbele ya hadhara?.
View attachment 1559588
Kampeni za CCM zimejaa burudani za mipasho, matusi ya nguoni na dansi za kungonoka. Hakuna sera za msingi za kisiasa.
Haipendezi hata kidogoNdio maendeleo mnayotaka kuleta kwa kuzalilishana majukwaani kiasi hiki tena mbele ya mgombea Urais wenu.
Na yeye anabariku huu uhuni wa wanawake kufanyiwa uhuni na wanaume mbele ya hadhara?.
View attachment 1559588
Huu ni zaidi ya upumbavu. Tunatengeneza taifa ka kuhuni mno.Ndio maendeleo mnayotaka kuleta kwa kuzalilishana majukwaani kiasi hiki tena mbele ya mgombea Urais wenu.
Na yeye anabariku huu uhuni wa wanawake kufanyiwa uhuni na wanaume mbele ya hadhara?.
View attachment 1559588
Magufuli hiyo michezo anaipenda sana ndio maana hawa wahuni wameamua ku demonstrate mbele ya wananchiNdio maendeleo mnayotaka kuleta kwa kuzalilishana majukwaani kiasi hiki tena mbele ya mgombea Urais wenu.
Na yeye anabariku huu uhuni wa wanawake kufanyiwa uhuni na wanaume mbele ya hadhara?.
View attachment 1559588
Nishamaliza kazi,
Miuno ya nguvu !Ndio maendeleo mnayotaka kuleta kwa kuzalilishana majukwaani kiasi hiki tena mbele ya mgombea Urais wenu.
Na yeye anabariku huu uhuni wa wanawake kufanyiwa uhuni na wanaume mbele ya hadhara?.
View attachment 1559588