Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Siku za nyuma kidogo kulikua na tuhuma kwamba kuna watu wameandaliwa na chama tawala kuja kutetea kila kitu kinachofanywa na serikali huku mitandaoni kwa malipo ya shilingi 7000 kwa siku, sina uhakika kama izo tuhuma zilikua za kweli
Lakini matokeo tunayaona mitandaoni, kuna wapambe ambao wamejizima data kichwani na kukubali kutetea kila kitu kwa mategemeo ya kupata reward fulani, miaka ya karibuni wamepewa jina maarufu la "chawa".
Bahati mbaya hakuna vetting inayofanyika kuwapata hao chawa matokeo yake kila mtu anajikuta mtetezi wa chama na serikali kwa mategemeo ataonwa na kulambishwa asali bahati mbaya zaidi hoja zao dhaifu sana na za kutia aibu ivyo kukosa ushawishi wowote kwa mtu ambae yupo neutral katika kudadavua mambo.
Wenyewe wanajiona wanatetea chama kumbe ndio wanazidi kudhihirisha kwamba hicho chama ni cha vilaza. Ushauri wangu kwa CCM fanyeni vetting ya chawa.
Lakini matokeo tunayaona mitandaoni, kuna wapambe ambao wamejizima data kichwani na kukubali kutetea kila kitu kwa mategemeo ya kupata reward fulani, miaka ya karibuni wamepewa jina maarufu la "chawa".
Bahati mbaya hakuna vetting inayofanyika kuwapata hao chawa matokeo yake kila mtu anajikuta mtetezi wa chama na serikali kwa mategemeo ataonwa na kulambishwa asali bahati mbaya zaidi hoja zao dhaifu sana na za kutia aibu ivyo kukosa ushawishi wowote kwa mtu ambae yupo neutral katika kudadavua mambo.
Wenyewe wanajiona wanatetea chama kumbe ndio wanazidi kudhihirisha kwamba hicho chama ni cha vilaza. Ushauri wangu kwa CCM fanyeni vetting ya chawa.