Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Napata ufunuo ambao inaonyesha Rais Mama Samia atafanya vizuri sana kipindi cha kwanza cha miaka 5 lakini kutokana yanayoendelea ktk uchaguzi ndani ya CCM kipindi cha pili kinaweza kikawa kigumu licha ya kuwepo kocha mzoefu kamanda Kinana.
Nafahamu Mama hana uchu wa madaraka angeweza kusema hii mitano inatosha. Lakini (ninahisi;hizi hisia zangi) wapo wanaonufaika ambao wangependa aendelee.
CCM iondoe utamaduni wa kuacha kulazimisha miaka 10 haipo kikatiba hii naiandika kwa faida ya CCM. Na ikimpendeza Mama atupe katiba mpya kabla ya 2025
Itamheshimisha sana.
Anapofurahia Kenya kutupa Zawadi ya Amani asisahau kuifikiria Tanzania na kesho yake wakati akiwepo au akiwa hayupo.
Nafahamu Mama hana uchu wa madaraka angeweza kusema hii mitano inatosha. Lakini (ninahisi;hizi hisia zangi) wapo wanaonufaika ambao wangependa aendelee.
CCM iondoe utamaduni wa kuacha kulazimisha miaka 10 haipo kikatiba hii naiandika kwa faida ya CCM. Na ikimpendeza Mama atupe katiba mpya kabla ya 2025
Itamheshimisha sana.
Anapofurahia Kenya kutupa Zawadi ya Amani asisahau kuifikiria Tanzania na kesho yake wakati akiwepo au akiwa hayupo.