Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Ni dhahiri sasa kuwa maandamano ya Gen.Z kule Kenya hayawezi tena kutulizwa na Polisi au Jeshi maana kitakacho tokea ni mauaji ya Raia ya kutisha na hilo haliwezi kukubalika duniani pote.
Umma wa Kenya umeamua kupitia vijana wasio na ajira na hata wenye nazo bila kuongozwa na chama chochote cha siasa au makundi ya kikabila au kidini njia ambayo huwa inaishia kuwagombanisha wanaopinga mambo ya hovyo ya serikali.
CCM inakawaida kutumia vyombo vya dola kuzuia harakati zite za kuikosoa. watu watapigwa, kukamatwa, kutekwa na hata kupotezwa lakini wajue nguvu ya umma ikijiunga pamoja bila kutumia vyama, dini au ukabila basi hakuna yeyote wa kuwazuia.
Ni ngumu kwa CCM kulitambua hilo la NGUVU YA UMMA haishindwi kitu, kwa sababu wana kiburi cha uzima ila siku Watanganyika wakiamka IMEKWISHA.
Umma wa Kenya umeamua kupitia vijana wasio na ajira na hata wenye nazo bila kuongozwa na chama chochote cha siasa au makundi ya kikabila au kidini njia ambayo huwa inaishia kuwagombanisha wanaopinga mambo ya hovyo ya serikali.
CCM inakawaida kutumia vyombo vya dola kuzuia harakati zite za kuikosoa. watu watapigwa, kukamatwa, kutekwa na hata kupotezwa lakini wajue nguvu ya umma ikijiunga pamoja bila kutumia vyama, dini au ukabila basi hakuna yeyote wa kuwazuia.
Ni ngumu kwa CCM kulitambua hilo la NGUVU YA UMMA haishindwi kitu, kwa sababu wana kiburi cha uzima ila siku Watanganyika wakiamka IMEKWISHA.