Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mwenyekit wako neno nje alafu unaongea ugoro gani sijuiKwa namna upinzani wa Tanzania ulivyo, CCM si ya kuanguka Leo wala kesho, Mbaka siku wapinzani watakapo ungana bila unafiki ndipo wataweza kushindana na CCM na sio kuishinda. Itawachukua muda kuja kuishinda CCM.
"mbaka" kuandika tu hujui sina hakika kama haujatudanganya uchambuzi wakoKwa namna upinzani wa Tanzania ulivyo, CCM si ya kuanguka Leo wala kesho, Mbaka siku wapinzani watakapo ungana bila unafiki ndipo wataweza kushindana na CCM na sio kuishinda. Itawachukua muda kuja kuishinda CCM.
Kwa namna upinzani wa Tanzania ulivyo, CCM si ya kuanguka Leo wala kesho, Mbaka siku wapinzani watakapo ungana bila unafiki ndipo wataweza kushindana na CCM na sio kuishinda. Itawachukua muda kuja kuishinda CCM.
Kwa akili yako fupi ya kunywea uji Hilo huwezi kulionaDiamond na u raisi wapi na wapi..wale ni wasanii wana fanya kupita na fursa TL hana mda wa kurevenge wasanii...tutakua bussy na fisiemu.Big fishes ..
Huwezi elewa we kilaza!Mziki na ulichokiandika ni vitu viwili tofauti Kabisa,
Halafu kumbe wewe ni bonge la mjinga siyo?
Naona Una jarbu kuitumia buku 7 yako vizuri ..Kwa akili yako fupi ya kunywea uji Hilo huwezi kuliona
Hakuna Rais hapo.. hakuna kitu kabisa. Hatumtaki mila zetu na utamaduni haziruhusu hayo anayotaka.Kama mnajua mnashinda jiandaeni sasa hapo ufipaView attachment 1580301
Nitake radhiNaona Una jarbu kuitumia buku 7 yako vizuri ..
CCM imeisha tangu 2015 Magufuli alivyopata kura asilimia 39 kitengo kikambeba safari hii kawachezea usalama kwa kuwekla wana ccm na watoto wa dada zake jeshi kwa muinua msukuma mwenzake ambaye muda wake kicheo ulikuwa bado ,uwa CDF kwa kuwapa mishahara minono polisi wakubwa huku wadogo hata posho zao akiwanyima nani atamtetea kwisheney magu go home chatoKwa namna upinzani wa Tanzania ulivyo, CCM si ya kuanguka Leo wala kesho, Mbaka siku wapinzani watakapo ungana bila unafiki ndipo wataweza kushindana na CCM na sio kuishinda. Itawachukua muda kuja kuishinda CCM.