Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Kwa chuki iliyo dhahiri kwa CCM kutokea kwa wananchi wa maeneo niliyoyataja hapo juu hakika ni wazi CCM haina chake.
Tunduma kwa mfano, ukiitaja CCM na Rais wake kwa wema jiandae kutukanwa ama kufukuzwa eneo husika.
Tunduma kwa mfano, ukiitaja CCM na Rais wake kwa wema jiandae kutukanwa ama kufukuzwa eneo husika.