Pre GE2025 CCM iko vizuri kwenye propoganda za kimitandao kwa asilimia 60 na Chadema kwa 30 wengine asilimia 10

Pre GE2025 CCM iko vizuri kwenye propoganda za kimitandao kwa asilimia 60 na Chadema kwa 30 wengine asilimia 10

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Nimekuwa nikifuatilia mtifuano wa kipropoganda kwenye mitandao kwa sasa mashambukizi ya CCM yako vizuri asilimia 60 mara Msigwa alibeba chupa ya damu ya Lissu, mara Lissu anaanzisha chama kipya na mengine.

Chadema inapigwa mashambulizi matakatifu na akina Lukas Mwashamba.
 
Nimekuwa nikifuatilia mtifuano wa kipropoganda kwenye mitandao kwa sasa mashambukizi ya CCM yako vizuri asilimia 60 mara Msigwa alibeba chupa ya damu ya Lissu,mara Lissu anaanzisha chama kipya na mengine. Chadema inapigwa mashambulizi matakatifu na akina Lukas Mwashamba.
Hayo mashambulizi ya kutoka mbogamboga ni ya kiwango cha chekechea kabisa,wanalipwa hela ya bure kabisa.
 
..ukiona chama kinajielekeza zaidi kwenye propaganda ujue kimeishiwa hoja.

..kuelekea 2025 inaelekea Maza Abduli amekata pumzi hana hoja dhidi ya mahasimu wake.
 
Back
Top Bottom