CCM: Ilani Ya Uchaguzi 2005-2010

Mama Radhia ninamfahamu, na anahusika sana na mambo ya kuwachafulia viongozi wengi majina yao, kama alivyohusika na kumuondoa Mzee Nyakyi pale New York, tepu zilitepiwa na mtoto wa Joseph Nyerere kule NY, akampatia Mzee Nyakyi, ambaye alimapatia Mzee Mosha(Mwenyekiti wa NICO) ambaye wakati ule alikuwa director UN, na zikafikishwa magazetini bongo enzi za Mwinyi, dunia nzima ikazisoma,

Huyu mwanamama hakuishia hapo, akajaribu kuleta kizaa zaa cha UPATU, alipooona anataka kukamatwa akawahi na kulipa shilingi millioni tano,

Akazua tena kizaa zaa cha kwenda kwenye mkutano UN bila ya kuruhusiwa na katibu wa wizara wakati huo akiwa Kibelloh(Muisilamu), Kibelloh akamrudisha na kumlazimisha kurudisha hela za serikali haraka, akazilipa lakini akamzunguka kwa waziri akamhamishia London kinyemela,

Kufika tu London akaanza vita dhidi ya Kibelloh, Muisilam mwenziwe kwa kushirikiana na RO, ambaye alikuwa anakaribia kurudi nyumbani lakini still was running the show pale, baadaye wakanza pia kumhusisha Salva, kuandika uongo usio na mfano mpaka kwenye google, lakini tukamsaidia Kibelloh ambaye ni Muisilamu kwa kutoa ushahidi wa kweli kuwa anaonewa na tukawataja kwa majina wote wanaohusika na kumpiga vita, rais kuanzia Mkapa mpaka JK, wakashindwa na kumuacha muungwana Kibelloh kuendelea na kazi muhimu ya taifa letu, na mpaka leo rais JK amemuhamishia Paris,

Wewe na wenzako hamna hoja wala ukweli, ila mna maneno ya masikani na saigon huko Kariakooo, hapa ni international ndio maana mnapwaya na kukimbiwa na wote, mimi siwakimbiiii maana uwezo wenu ni mdogo wa kufikiri na unajionyesha, na ninajua kuwa mmetumwa na RO, haiwezekani nyinyi mmeshupalia tu issue moja ya udini tu na RO, wakati humu kuna issue nyingi muhimu za taifa!

Tafadhali mzee Tafiti, wakusanye watu wako ili tuendelee na mijadala muhimu ya taifa letu!
 
Mzee Es
Kuna mahali ulisema kwamba there is sincere cry na kwamba tumegusa penyewe katika majadiliano haya. Naamini kabisa kwani hawa low profiles walivyokuja kwa kukurupuka inaonekana kidonda kimetoneshwa.

Wembe ule ule mzee.
 
Hawa maaskofu wanatupotezea muda. Swala la kadhi mkuu lilikuwa sehemu kuu za ajenda za JK na ilani ya ccm; hawakuliona wakati wa kampeni ndio wanashtuka leo? Walitutangazia kabla na baada ya kuchaguliwa, kuwa JK ni chaguo la Mungu, iwe wapinge yale ambayo anayafanya huyo aliyechaguliwa na Mungu?

Nirudi kwenye maswali mazito ambayo mzee es kauliza. Nafikiri tatizo la ilani za ccm ni kutokuwa na mipango ya muda mrefu. Siku zote ilani hizi zinaangalia pale ambapo kiongozi atakayechaguliwa ataishia, yaani miaka 5. Sasa kwa mambo makubwa kutokea in 5 years in miujiza. Kwa mfano ni kilimo gani hicho cha kisasa utakachokipata within five years tena kwa bajeti ya 3.2% ya bajeti ya nchi? Hatuna uwezo wa kufikiri zaidi ya pua zetu. Can we have plans for 10, 15, 20 years, for example.

Mfano mwingine ni jinsi serikali ya ccm inavyochezea elimu yetu. Kila wazsiri anaibuka na jambo lake jipya tena likikandia la mwenzake. kwa mfano kila waziri akija anakuja na curriculum yake. Hivi nimetoka kutembelea mashule kama sehemu ya utafiti wangu, walimu wanasema wanachanganyikiwa watumia mtaala upi maana ndio kwanza walikuwa wanajiandaa kutumia mtaala ulioanzishwa na Mungai, ghafla huyu mama Sita anaibuka na wa kwake! Katika utaratibu huu utakuwa na elimu thabiti kweli! Au hii ya kufundisha walimu kwa wiki nne-ni ugonjwa tunaojitengenezea wenyewe.

Hivyo, basi ilani hizi za ccm zipo kukidhi haja ya kuvutia wapiga kura, sio kwa lengo la kweli la kuleta maendeleo. Kwa maoni yangu, for the first time in the history of this country, tumechagua Rais anayekwenda kwa matukio. Anafanya lile jambo ambalo litasababisha apigiwe makofi basi. Ndio maana wote yeye na PM wake wanaogopa mno kukosolewa.
 
hodi hapa ndugu,
nimekuwa msomaji mzuri wa hii forum kwa muda mrefu lakini kutokana na ukereketwa wa nchi yangu nimeamua kushiriki katika mijadala hii, natumaini tutaendelea kushindana kwa hoja zaidi kuliko matusi,

kwanza nikianza kujibu hoja ya mchangiaji mmoja(nimesahau jina lake kwasababu nimesoma hoja nyiingi ila nahisi ni kivuli) ambaye amekuwa akipinga sera na ilani ya ccm kipindi cha mwl julius nyerere.

nimefuatilia hoja nyingi za mchangiaji anaonyesha hoja zake nyingi ni za ushangiliaji zaidi kuliko fact, in no way huwezi kulinganisha sera za julius nyerere na sera za jakaya kikwete,
kwasababu kwanza hawa ni watu wawili tofauti kabisa, kiuwezo,kimitizamo na belief systems,
kabla hujazungumzia sera za julius nyerere kwanza unatakiwa umfahamu personaly julius alikuwa ni mtu wa namna gani, julius was incorruptible leader through out his life wakati kikwete ni corrupt leader,

nyerere mpaka anafariki alikuwa na nyumba mbili tu alizojenga kwa pesa yake ya mshahara, ile ya butihama na hii ya msasani, hizo nyingine zote zitakuwa alipewa au kujengewa tena kwa kulazimishwa, kama ile ya butihama alilazimishwa na jeshi la tanzania na alikaa kwa wiki mbili tu,
lakini unaweza kumwangalia rais wetu wa sasa jinsi anavyopenda starehe na mambo makubwa(i dont need to go into details in this you can make a research on yourself) suala hapa ni kwamba watanzania hata wana ccm walijikuta wakikumbwa na wimbi la kikwete bila hata kufahamu mtu waliokuwa wakimshangilia,

watu wengi walikua wanamjua a more quite and charming kikwete thats it, kutokana na kuwa charming na ujana wake watu walifikiri kuwa anaweza kuleta mabadiriko katika nchi hii, thats not the case.

kwasababu ukiangalia kikwete toka alikoanzia mpaka hapo alipofika alibebwa na raisi mwinyi na ni kwasababu za udini zaidi na ambao yeye ndio anauendeleza waziwazi mpaka sasa. labda ni mwendawazimu tu ndio atakeeshindwa kujua kuwa kikwete ni mdini.ila watu wenye akili zao walishaliona kabla hata ya kikwete kuwa rais.

mikataba yote ambayo watu wanailalamikia saizi ilisainiwa wakati kikwete akiwa ni waziri wa nishati na madini,mikatababa kama ya madini,bulyahulu na ile ya iptl ilikuwa ni kipindi cha kikwete, angalieni wakati akiwa waziri wa mambo ya nje jinsi pesa zilivyopotea kwenye balozi mbalimbali na kuna kila aina ya sababu kuamini kuwa pesa zilizoptea italy kwa mahalu zilihusishwa na kampeni ya kikwete, kwahiyo nyie vijana kivuli na hiyo mwezio tafiti hivyo vipropaganda vyenu tafadhali vipelekeni huko vijijini ambako hawana access ya information.
 
Mzee quaz umesema maneno machache na mazito. Leo hii wale Maaskofu na waumini wao na hasa wanawake ambao hata wakati wa Kampeni jimbo Katoliki za Songea Askofu Norbert Mtega alitukanwa kwa kusema kwama CCM was spending much money kuwanunua wapiga kura .Alitukanwa na akina Mama ambao sasa wataona joto lake kali .

Mimi JK sikuona na sijaona watu wanacho mshangilia . Huyu ni muongo ambaye mara 3 sasa kwa kumbukumbu zangu namkamata uongo . Mwaka 1995 Temeke alisema uongo akiwa waziri wa Nishati kama sijakosea juu ya pesa za maji na World Bank. Mwaka jana alisema uongo juu ya kutokuwa na nyuma walizo uziana lakini baadaye ikaja kuwa wazi kwamba na yeye anayo na hajasema lolote hadi sasa . Majuzi Mwanza kasema uongo juu ya Sauper na documentary yake kwamba alimkimbia wakati ukweli Sauper anasema alimwendea rais kumuuliza juu ya documentary na JK akawa hana habari nayo lakin juzi kajenga hoja kwamba huyu jamaa alimkimbia .

Ni hatari sasa kapata sifa ya kuwazuia majambazo ambao wengi wao ni ma donors wa CCM na yeye alijua namna ya kuzuia hili . Mambo makubwa kama mikataba na ma rushwa ni hadithi kubwa na kiza kinene.

Mzee umegusa jambo la Mahalu hahaha issue nzito hii JK hana ubavu wa kusema lolote wataifinyanga na kuinua tu hawana jipya hawa .
 
Kivuli
Asante kwa matusi kwangu , Es , Sam nk . Naona kweli uko hapa na kazi moja nayo kututukana sisi na sasa you have gone too far hadi kumkashifu marehemu Mzee Mwalimu JKN. The man special na wengi ambao wameishi naye karibu na kufanya kazi wanadiriki kusema alikuwa Mtume .Mzee yule alikuwa mtu wa pekee mwenye vision na ambaye hakupenda ubaguzi wowote . Mzee yule aichukua mashule yetu sisi hasa wakatoliki akaupa umma kwa jina la Tanganyika thena Tanzania . Shule mmesoma na mnasoma hadi leo Waislam bila ya shida .

Mzee yule alisema ukienda madrasa pia kumbuka Elimu Dunia .Eneo la Chango'ombe ambako waislam juzi kwa tamaa yao waliuza kiwanja na kiliuzwa na waislam wenzao kwa Muislam mwenzao Manji walitaka kujenga Chuo Kikuuu cha Quoran na Mwalimu akafunguka macho na kusemakwa makusudi maana huo ungalikuwa mwanzo wa maisha kama ya Iran na Afghanstan ila akasema jengeni shule msoma Elimu Dunia.

Hatuhitaji Mahakama ya Kadhi wala kadhi sababu ziko wazi . You can have your court no body cared lakini kupitia Bungeni kwa kuwa kuna mambo ambayo we call string attached .Sasa kushambulia kabila bila ya hata kujua unaongea na nani ndiyo nashangaa uwezo wako wa kuelewa . Chuki za nini ndugu ?

Mwalimu kawageuka watu wa Pwani ? Is not true . Wako akina Mzee Karuma marehemu , Mzee Kawawa , Bibi Titi Mohamed nk ambao wali support na mwalimu did the job . Kwanza unamuita mwalimu means he had to teach those folks as well maana walikuwa gizani struggle zako zilikuwa za mawazo ya kiislam we are witnessing today . Kwamba US wamewasaidia bada ya kujipanga huko Iraq mnaanz akuvaa mabomu na kuana .Je wanakufa akina nani kwa wingi jibu waislam. Why killing your fellow musilims badala ya kuijenga Nchi yetu na hawa wasio waislam waondoke maana they will never live kwa kuwa mnavaa mabomu yenu . Kazi sana na that is what Mwalimu did kuwapa elimu na hakuwabagua hata sasa .

Mashule kuchukuliwa nadhani uangalie mwanzoni yalikuwa ni nani na kwa nini Serikali inarudisha mashule . BMW atakumbukwa sana na waislam kwa kuwapa kila alichoweza kwa mujibu wa sheria . Haruwezi kutoa majengo watu wakasome kuomba Nchi kuafuta Sharia .

Unasema Commonwealth ni kitu gani ? Hapa nitaacha waamue kama kweli kuna unalolijua hapa ama hapa sitaligusa .

Umesema Vatican iko Tanzania ?Well ile ni Serikali ya Dunia kisa ni kusoma tu basi hata Bush hana la kusema pale na uliona hata Mzee Johaness alipoitwa mbele za Haki the World was shaken kuanzia waislam na wakristo . Why ? Muulize Khatamii why he attended the Popes funeral Rome .
Usicheze na Vatican mzee .

Kusaidia chakula na majanga ya njaa nk Lile ni kanisa na lina mipaka na kazi zake . Lakini waarabu hao wanaoleta pesa TZ they have never saved their fellow muslims huko waliko .Wazungu yaani wakristo wanahangaika na kila kitu kumsaidia Muislam aisihi maisha ya kile atoke pangoni athamini maisha na si kujilipua nk .

Angalia juzi Sweden walifanya nini kuisaidia Lebabno and look what are the catholics doing in Iraq , Palestine , Lebanon to feel the hungry people with no hope but sorrounded and engalfed by death and the root cause is hatred from Muslims who are dreaming of the destruction of Israel.Ni ndoto kubwa hii kawaulize Hezbollah what happened to them and if they can again dare to attack Israel .

Ni Wakristo waliosema no to Isarel maana innocent Lebanese were dying in big numbers .

Naanza kujiuliza kwani Uislam ni kitu gani ? Mbona kila kona wana vurugu ?Wanataka nini ? Look here guys .You are so very late maana wakati warumi wanaua watu wasio kuwa wakatoliki ili kuweka ukatoliki ushamiri si wakati huu . Hii ni karne ya 21 na tunabakia kuona kwama the only people of the Islam faith who are behind kimaendeleo , values no life ni waislam .Huwezi uka wage Jihad sasa ukafanikiwa maana hii ndiyo agenda kubwa na wala si Palestine wala nini . Leo hii middle east ikitulia mtazua malalamiko mengine tena kama ambavyo tumezoea TZ kuwasikia nakote Duniani . Uislam nasiki ni dini ya amani . Je what is amani to you guys .
 
mr kivuli,

nianze na suala la mwalimu,

unasema kuwa mimi ni muongo kuwa mwalimu ananyumba mbili ambazo amejenga kwa pesa yake, naomba unitajie nyumba nyingine za mwalimu ambazo wewe unazifahamu,for sure nafahamu kuwa nyerere alikuwa ananyumba alizokuwa anafikia sehemu mbalimbali kama dodoma ambazo hizo si mali zake, kama pale dodoma kulikuwa na nyumba aliyokuwa anafikia lakini hiyo si mali yake, ni mali ya ccm.

kuhusu zawadi alizopewa mwalimu wakati anang'atuka 1985 na 1990 ni vichekesho vitupu, mwalimu alipewa zawadi hizo zote kutokana na kupendwa kwake na watanzania na kwa kulitumikia taifa kwa uaminifu, na ingawa sijui zawadi hizo alizipeleka wapi ila kwa jinsi ninavyomfahamu nyerere hizo zawadi lazima alizigawa tu,

nyerere amekufa akiwa ni kiongozi maskini, huwezi kumlinganisha na ben mkapa au ally mwinyi na kikwete.

kuhusu suala la udini, hakuna crusade yeyote tanzania,huo ni wasiwasi wenu nyinyi waislam, isipokuwa nyinyi waislam mnataka kutuletea jihad movement hapa tanzania,

na bila shaka nyinyi waislam lengo lenu ni kuvuruga amani na umoja uliopo tanzania, mlikuwa mnataka power sasa mmepewa kuanzia rais,makamu wa rais,rais wa wanzanzibar na mawaziri wote mmepata, haya sasa mnakuja na suala la kadhi, kesho mmje na OIC halafu keshokutwa mdai kuwa lazima wote tu convert into muslim,

huwezi kutulazimisha sisi tanzania tuingie kwenye oic kwasababu eti mozambiq na uganda wameingina, au kwasababu eti wamejengewa chuokikuu,

hayo ni mawazo tegemezi, kwanini usubiri kujengewa chuokikuu na oic,

na pia umenishangaza kweli eti rais wetu anazunguka huko kwenda kuomba pesa za kujenga chuokikuu, yani inamaana kuwa wakati JK anafanya kampeni na kutoa ahadi ya kujenga chuo kumbe alikuwa akitegemea kwenda kuomba pesa kwa wafadhili, hiyo ni aibu tupu na wala si kitu cha kujivunia kama ulivyooleza hapo sijui prince wa saudi kaahidi...,

toeni hoja za kueleweka kwanini tanzania iingie kwenye oic lakini siyo hoja za kitoto hizo za kupewa misaada.

nikimalizia na suala la udini ni nyinyi waislam ndio mnaleta udini tanzania, wakristu hawana shida isipokuwa ujue uvumilivu huwa unamwisho mtaendelea kuwachokoza na mwisho watachoka na moto utawaka.
 
SURA YA KWANZA: (29).

Nchi za Asia zijulikanazo kama Asian Tigers, zimefanikiwa kujenga msingi imara wa uchumi wa kisasa kwa kuweka kipaumbele kwenye,

mapinduzi ya elimu, mapinduzi ya kilimo na mapinduzi ya viwanda na zimepata mafaniko ya kupigiwa mfano.

Tujifunze kutoka kwa nchi hizo!
 
wabunge wa CCM wasihoji maamuzi ya CCM au kashfa mbali mbali zinazotokea dhidi ya sirikali ya chama twawala. CCM wanachama wake hawafiki hata milioni 2!!!!! Je, Ilani ya Watanzania ambao ni milioni 36 inasemaje kuhusu kashfa mbali mbali ndani ya serikali!!!!? Hivi CCM ambayo wanachama wake ni less than 10% ya Watanzania wote wanastahili kuendelea kuwapuuza Watanzania pamoja na kuandamwa na kashfa nzito nzito, hili litaendelea mpaka lini!!!? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa....
~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+


Wabunge CCM wafungwa mdomo kumjadili Gavana

2007-06-28 09:33:38
Na Mary Edward, PST Dodoma



Wabunge wa CCM wametakiwa kutojadili tuhuma zilizotolewa Bungeni na Kambi ya Upinzani zinazomhusu Gavana wa Benki Kuu (BoT) na Mbunge mmoja wa Chama hicho.

Vyanzo vyetu vya habari vimedai kuwa, Chama hicho kimefikia uamuzi huo baada ya wabunge wengi wa CCM kuonyesha dalili za kutaka kuendeleza mjadala huo.

Katika kikao hicho cha `Kuwekana sawa` kinachokutana kila inapotokea mijadala mikubwa juu ya suala fulani linaloibuliwa Bungeni, kilikutana juzi katika ukumbi wa Pius Msekwa.

Vyanzo vyetu vya habari vimedai kuwa wabunge hao wametakiwa kupunguza 'jazba' pale wanaposimama kuchangia hotuba zitakazofuata kwa vile serikali ina nia ya kutekeleza ahadi zote zilizotolewa.

Chanzo hicho kilieleza kwamba, baada ya Waziri wa Fedha Bi. Zakia Meghji, kuwasilisha hotuba yake ya bajeti ya Serikali mwaka 2007/08, wabunge wa CCM walionekana kusahau itikadi ya chama chao na kujadili bajeti hiyo kwa undani, huku wakihoji ni lini maisha bora kwa kila mtanzania yatapatikana na utekelezaji wa ahadi mbalimbali za serikali bila kuzingatia athari za maswali mazito kwa chama tawala.

Mmoja wa Mbunge wa CCM ambaye hakutaka kutanjwa jina akizungumza na Nipashe kwa njia ya simu alisema hali hiyo ilizidi kuwa mbaya zaidi pale baadhi ya wabunge wenzake walipoonekana kuendelea kuishambulia serikali, wakati wakichangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu juzi jioni na jana, ambapo wengi walionekana kuitaka serikali kutoa maelezo ya kina ya kutokamilika kwa ahadi nyingi za Serikali hususan upande wa barabara.

Baada ya Waziri Mkuu kuwasilisha bajeti yake wabunge wengi waliochangia walionyesha kusikitishwa kwao kwa kutotekelezwa kwa miradi mingi, na kuwafanya wawaombe mawaziri kuongozana nao katika majimbo yao wakajibu maswali ya wananchi kuhusu ni lini miradi hiyoitakalimika

Mjadala wa bajeti ya Waziri Mkuu utaendelea leo, baada ya jana kuahirishwa kutokana na msiba wa Mbunge wa (CCM) Viti Maalumu vijana, Bi. Amina Chifupa Mpakanjia.


SOURCE: Nipashe
 
Ikiwa kipindi cha kwanza cha awamu ya nne ikielekea ukingoni nimeona si vibaya kutazama ilani ya uchaguzi wa CCM kwa mwaka 2005-2010. Ilani ni ndefu kidogo ndiyo maana link zake nime zitenganisha kwa sura badala ya kuiweka yote hapa. Unaweza kusoma sura yoyote au ukiamua ukasoma sura zote. Nia ya kui tenganisha kwa sura mbali mbali ni kama ukiona ilani yote ni ndefu waweza soma sura fulani na kuichangiya hiyoToa maoni yako juu ya ilani hiyo na mafanikio yake au sehemu ilani ilipo shindwa kutekelezwa. Kama tunavyo jua ilani ya uchaguzi ya chama chochote ni ahadi kwa wananchi wake, je CCM ime timiza ahadi hizo?
 
Last edited:


Kumbe hili ndilo linawasumbua CCM leo?Sasa waseme bayana ni ufumbuzi upi wameshapata? Longolongo kwa wakristo na waislamu imefika mwisho!
 
Wakuu ni tamu sana tukijikumbusha hizi ilani za sisi M. na kujiuliza tulikofika badala ya wakina masatu, pundamilia, mkamaP, Kibunango na wengineo kutudanganya hapa.
Si vibaya tukaanza kuzijadili kadri tunavyoziona na kuona ghiriba ya wahuni wachache wanaotumia skills za kuandika mambo mengi ambayo hata robo yake ni ngumu kuifikia. Mkapa alikuwa smart pale alipowapasulia wazi kuwa hazitekelezeki lakini Kikwete atakuja na usanii kwamba wameshazitekeleza zote, na atasindikizwa na maandamano ya kuunga mkono fikra za mwenyekiti.
Badala yake mambo mengine yamekuwa Controversial katika issues za nchi hii.
 
Wakuu mmechimbua vizuri sana kitu hii. Mkuu FMES issue uliyoidokeza 2006 inaonekana 2009 kama zilivyo nyingi nyingine.
Ukiangalia sera za CCM ni nzuri sana, tena zinaweza kuwa nzuri kuliko hata za Uingereza, Iraq, Malaysia, Japan hata Afrika Kusini. Lakini kwa utekelezaji hata Korea ya Kaskazini wametushinda, hata Afghanistani wametushinda. Swali linakuja, je ni kweli ndivyo tulivyo? au ni wizi tu na poprojo za watekelezaji wa sera zetu. Au ni ujinga wa kuandika sera ambazo hazitekelezeki.

Ilani ya nguvu mpya kasi mpya imefikia wapi??
 

Si kweli kwamba Tanzania inategemea misaada [grants] kwa 50%!

Ni kweli kwamba Tanzania inategemea misaada [grants] kwa 22%

Ni Kweli kwamba Tanzania inategemea kwa pamoja misaada na mikopo kwa 34%

Angalizo!

Mkopo sio msaada!

Mungu ibariki Tanzania
 

Mkuu unafurahisha sana kuonesha kuwa ni kati ya 22%-34% na sio 50%. I wonder what difference this difference make. Utegemezi ni utegemezi tu, hasa pale ambapo hata bajeti ya mambo ya kuendesha serikali inategemea misaada, leave alone miradi ya maendeleo. Ni sawa na kusema mimi sikuiba sana niliiba kidogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…