Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Mimi nikiwa mtumishi wa Mungu ninawatakia kila la heri CHADEMA katika uchaguzi wao wa viongozi wa ngazi za juu wa leo tarehe 21/01/2025. Ninawatakia uchaguzi wenye amani, huru na haki katika kuwapata viongozi hao.
"chama legelege huzaa serikali legelege"
Mungu ibariki Tanzania, ibariki CHADEMA, m'bariki Tundu Antiphas Lisu. na watu wote tuseme AMINA.
"chama legelege huzaa serikali legelege"
Mungu ibariki Tanzania, ibariki CHADEMA, m'bariki Tundu Antiphas Lisu. na watu wote tuseme AMINA.