CCM imebakisha miaka michache sana kuitwa chama tawala Tanzania

CCM imebakisha miaka michache sana kuitwa chama tawala Tanzania

Edenkimario

New Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
2
Reaction score
5
Katika ulimwengu wa kiroho CCM inaonekana imebakisha miaka michache sana ya kuitwa chama tawala Tanzania

Sitaki kusema sana lakini wacha tuone itakavyokuwa. Lakini kama wanavyosema kwenye ulimwengu wa kiroho ukikataliwa basi na kwenye ulimwengu wa kawaida inakuwa hivyo hivyo.
 
Weka wazi mtume na nabii. Asiyeamini achana nae. Ukweli usemwe. Tumelichokq hilo lichama. Hakuna marefu......
 
Hivi unajua kwamba hata miaka 1,000 ni michache?

Angalia isijekuwa hiyo ni fikra hawavu tu (wishful thinking).

Kwanza hao wapinzani wa kuing'atua Sisiemu mamlakani wak'wapi?
 
Katika ulimwengu wa kiroho CCM inaonekana imebakisha miaka michache sana ya kuitwa chama tawala Tanzania

Sitaki kusema sana lakini wacha tuone itakavyokuwa. Lakini kama wanavyosema kwenye ulimwengu wa kiroho ukikataliwa basi na kwenye ulimwengu wa kawaida inakuwa hivyo hivyo.
Wenzao bondeni wameungana na "MAKABURU" bado mmoja ..
 
Katika ulimwengu wa kiroho CCM inaonekana imebakisha miaka michache sana ya kuitwa chama tawala Tanzania

Sitaki kusema sana lakini wacha tuone itakavyokuwa. Lakini kama wanavyosema kwenye ulimwengu wa kiroho ukikataliwa basi na kwenye ulimwengu wa kawaida inakuwa hivyo hivyo.
Amka kwenye usingizi ndugu! Ndoto za mchana hizo
 
Back
Top Bottom