Hawa ni kinanani si mnasema chadema imekuwa nyieWameelimika ndio maana jana hawakuja zarkiemu kusikiliza upuuzi wa kuchangishwa hela.
Hao pimbi wa Lumumba wanajifanya Hawaoni hilo nyomiHawa ni kinanani si mnasema chadema imekuwa nyie
Mikutano yenu inajazwa na wasanii na malori
View attachment 1551433View attachment 1551434View attachment 1551435
Hizi camera angles hazina mashikoHawa ni kinanani si mnasema chadema imekuwa nyie
Mikutano yenu inajazwa na wasanii na malori
View attachment 1551433View attachment 1551434View attachment 1551435
Mtaje mkuu Gwakikolo, kuntiila?. Huyu ni John mteka watu, mbaguzi, mkanda, mkabila, mpiga watu risasi, mjenga kwao, mbinafsi, mpenda sifa, mwenye roho mbaya,....mb zangu zimeishahyu mwingine atakuja kumbukwa na vizazi vijavyo Kama hatabadilka kama mwaasisi wa kugawa nchi ktk vipande
Kwao vita ni jambo la kawaida tu!Katika nchi hii..Kuna watu wawili mpaka umri huu watakuja kumbukwa na vizazi vijavyo,nawaapia mmoja ametangulia mbele za haki huyu alitengeneza Taifa moja lenye watu wenye umoja Bila kujali ukabila,ukanda,rangi nk hyu mwingine atakuja kumbukwa na vizazi vijavyo Kama hatabadilka kama mwaasisi wa kugawa nchi ktk vipande vipande ktk misingi ya itikadi ya uvyama,ukanda na ukabila. Nk.Mungu ingilia Kati shetani ashindwe katka nyakati hizi za mpito kuelekea kutugawa Watanzania!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Amen. Na iwe hivyoBwana awatwae wanaofanya dhuluma
Chadema haina wasanii ? Hangaikeni kukijenga chama chenu kifedha , ki rasilimali watu ,na uhamasishaji ndo muwe na mawazo ya kuingia ikulu!.. Sio kutufanyia uhuni kama wa jana! Ivi mnafikili CCM na JPM wake bila wasanii watakua na watu kama mliokua nao ninyi jana!.?.Hawa ni kinanani si mnasema chadema imekuwa nyie
Mikutano yenu inajazwa na wasanii na malori
View attachment 1551433View attachment 1551434View attachment 1551435
Acha kuleta utoto kwenye mambo ya msingi. Usidhanie wote tunuaishi kwa kutegemea mkate wa ccm. Wengine tuna biashara zetu nchi ikiharibika tunapoteza Mali zetu kwa ajili ya ujinga wenu wakuendekeza siasa za kishetani.Wameelimika ndio maana jana hawakuja zarkiemu kusikiliza upuuzi wa kuchangishwa hela.
Bana choo mkuu, kisha meza mebendazole!Acha kuleta utoto kwenye mambo ya msingi. Usidhanie wote tunuaishi kwa kutegemea mkate wa ccm. Wengine tuna biashara zetu nchi ikiharibika tunapoteza Mali zetu kwa ajili ya ujinga wenu wakuendekeza siasa za kishetani.
Magufuli ni rais wa wanyonge.Katika nchi hii..Kuna watu wawili mpaka umri huu watakuja kumbukwa na vizazi vijavyo,nawaapia mmoja ametangulia mbele za haki huyu alitengeneza Taifa moja lenye watu wenye umoja Bila kujali ukabila,ukanda,rangi nk hyu mwingine atakuja kumbukwa na vizazi vijavyo Kama hatabadilka kama mwaasisi wa kugawa nchi ktk vipande vipande ktk misingi ya itikadi ya uvyama,ukanda na ukabila. Nk.Mungu ingilia Kati shetani ashindwe katka nyakati hizi za mpito kuelekea kutugawa Watanzania!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
vijana ambao tulifikiri watakuwa makini kuchambua sera za wagombea na ilani zao for the next 5 years, Ndio Hao Hao wako mitandaoni kubishana nani kajaza uwanja...Smh, Tuna safari ndefu sana fam. Tuko kishabiki zaidi dizaini ya simba na yanga!!Hao pimbi wa Lumumba wanajifanya Hawaoni hilo nyomi
ipo ingine mbaya kuliko zote, hiyo si ingine bali ni NECCCM kuwa na matokeo ya Urais mifukoni, kwa Lugha ingine ni kwamba mtukufu magufuli akichaguliwa asichaguliwe na wapiga kura lazima NECCCM itamtangaza mtukufu kuwa mshindi kwa nguvu zote bila kujali wala kusikiliza chochote tokea kwa wapinzani na wananchi.CCM imefanya uhuni wa kuengua baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani. Uhuni huu umepitwa na wakati. Wananchi kupitia vyama vyao vya siasa, wamechoka na uhuni huu.
Kwa wale ambao tunajua jinsi ambavyo mataifa mengi barani Africa yaliingia kwenye matatizo mazito sana, tuwaomba washauri wa Rais, mwambieni kwamba huko anakotaka kutupeleka ni giza nene.
Ndugu zangu, katika siasa, siku moja yaweza kuwa sawa na siku mia moja.
CCM na Mwenyekiti wake, mbinu za mwaka jana hazitofaa tena. Isitoshe, wananchi waliowengi, wameisha elimika.
Rais gani wa wanyonge kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani? Wanyonge ndiyo wabambikiwe kesi?Magufuli ni rais wa wanyonge.
Mtanzania usiwe bwege ukakubali kuitwa mnyonge.