Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Nimepatwa na mshtuko mkubwa sana pale niliposoma leo kuwa eti Andrew Chenge amechaguliwa na kamati kuu ya CCM kuwa mjumbe wa kamati ya maadili.
Nimejiuliza swali hili ,hivi kuwa mjumbe wa kamati ya maadili maan yake si ni mtu wa kuhakikisha kuwa viongozi wenzake wanafuata maadili?
Ama kama wameamua kuufanya ufisadi sehemu ya chama chao basi Chenge anafaa kuwa mjumbe kwani kama hayo ndio maadili kwao nani awezaye kupinga chenge kuwa mjumbe humo?
Huyu Chenge nampinga kwa sababu kati ya watu waliouza taifa hili huyu ni wa kwanza akishirikiana na wakina Mkapa kuuza kila kilichomo ,na huyu ni fisadi mkubwa sana sasa kama anapewa kuwa mtu wa maadili hapo tumekwisha ....
si, ameokoka huyu nasikia sasa anasali kwa yule jamaa mtoa mapepo
Nimepatwa na mshtuko mkubwa sana pale niliposoma leo kuwa eti Andrew Chenge amechaguliwa na kamati kuu ya CCM kuwa mjumbe wa kamati ya maadili.
Nimejiuliza swali hili ,hivi kuwa mjumbe wa kamati ya maadili maan yake si ni mtu wa kuhakikisha kuwa viongozi wenzake wanafuata maadili?
Ama kama wameamua kuufanya ufisadi sehemu ya chama chao basi Chenge anafaa kuwa mjumbe kwani kama hayo ndio maadili kwao nani awezaye kupinga chenge kuwa mjumbe humo?
Huyu Chenge nampinga kwa sababu kati ya watu waliouza taifa hili huyu ni wa kwanza akishirikiana na wakina Mkapa kuuza kila kilichomo ,na huyu ni fisadi mkubwa sana sasa kama anapewa kuwa mtu wa maadili hapo tumekwisha ....
Hapa inaonyesha jinsi ambavyo CCM wamekosa mtu mwafdilifu wa kumkabidhi chama na hapo tutegemee nini kama chama kimekabidhiwa rasimi kwa mafisadi?
Nafikiri kuna haja ya kuiamsha jamii ijue kuwa nchi hii inaongozwa na chama chenye viongozi wa aina gani na hivyo wasitegemee lolote la maana kutoka kwa wazee hawa kwani ni aibu .
Hapana waadilifu tupo tele, ila wengine wana kimbelembele, wanataka wawepo kila mahala. Sasa tumeamua kukisafisha chama chetu. Si umesikia wanene wameambiwa waamue moja siasa au biashara. Wengine siku zao zinahesabika.
Hapana waadilifu tupo tele, ila wengine wana kimbelembele, wanataka wawepo kila mahala. Sasa tumeamua kukisafisha chama chetu. Si umesikia wanene wameambiwa waamue moja siasa au biashara. Wengine siku zao zinahesabika.