CCM imenajisi demokrasia mchakato wa kumpata mgombea wa Uspika

CCM imenajisi demokrasia mchakato wa kumpata mgombea wa Uspika

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,183
Reaction score
1,322
Kura za kumpata spika zinapigwa ndani ya BUNGE, nilitegemea CCM itapitisha wagombea kama watatu hivi na kupigiwa kura za kugombea nafasi ya uspika . Ofisi ya katibu wa BUNGE ndio hutoa jina la atakayepigiwa kura .

Je kama Tulia alipigwa chini na ofisi ya BUNGE itakuwaje. Dr Tulia alitakiwa ajiuzulu kiti cha unaibu spika kabla ya kugomea nafasi ya uspika .

Kwa kuwanyima wengine nafasi ya kugombea hamuoni kwamba mmewanyima wengine haki yao ya kugombea nafasi ya uspika
 
Demokrasia ina pande nyingi sana lakini kilichotokea 2015 kwenye mkutano mkuu wa. CHADEMA wakati wanampitisha Laigwanan BAVICHA wamesahau
 
Kesi iko mahakamani,Sara sijui kusema ndiyooooo Tulia spika.mahakama itasimamisha zoezi?
 
Kura za kumpata spika zinapigwa ndani ya BUNGE, nilitegemea CCM itapitisha wagombea kama watatu hivi na kupigiwa kura za kugombea nafasi ya uspika . Ofisi ya katibu wa BUNGE ndio hutoa jina la atakae pigiwa kura . Je kama Tulia alipigwa chini na ofisi ya BUNGE itakuwaje. Dr Tulia alitakiwa ajiuzulu kiti cha unaibu spika kabla ya kugomea nafasi ya uspika . Kwa kuwanyima wengine nafasi ya kugombea hamuoni kwamba mmewanyima wengine haki yao ya kugombea nafasi ya uspika
Bunge ni la vyama vingi ,Tulia ni wa CCM kile chama cha corona nao watatoa mgombea wao ili washindanishwe na Tulia
 
Chadema imetimiza 30 yrs, tuambie mmebadili mwenyekiti kidemokrasia mara ngapi.

Tangu Mbowe alipokabidhiwa chama na Baba mkwe mzee Mtei.

Lipi jipya limefanyika kuonyesha Demokrasia ndani ya Chadema?
 
Back
Top Bottom