Bunge ni la vyama vingi ,Tulia ni wa CCM kile chama cha corona nao watatoa mgombea wao ili washindanishwe na TuliaKura za kumpata spika zinapigwa ndani ya BUNGE, nilitegemea CCM itapitisha wagombea kama watatu hivi na kupigiwa kura za kugombea nafasi ya uspika . Ofisi ya katibu wa BUNGE ndio hutoa jina la atakae pigiwa kura . Je kama Tulia alipigwa chini na ofisi ya BUNGE itakuwaje. Dr Tulia alitakiwa ajiuzulu kiti cha unaibu spika kabla ya kugomea nafasi ya uspika . Kwa kuwanyima wengine nafasi ya kugombea hamuoni kwamba mmewanyima wengine haki yao ya kugombea nafasi ya uspika