Kutupa maoni ya wananchi na kutengeneza katiba yao, Wanazazimisha akidi kwa nguvu,wanatulazimisha wananchi tuipigie kura katiba pendekezwa! Hapana aisee! Kwa dhambi hii naomba usiku na mchana ccm ishindwe vibaya.
kutupa maoni ya wananchi na kutengeneza katiba yao, wanazazimisha akidi kwa nguvu,wanatulazimisha wananchi tuipigie kura katiba pendekezwa! Hapana aisee! Kwa dhambi hii naomba usiku na mchana ccm ishindwe vibaya.