Mtz-halisi
Member
- Nov 28, 2009
- 47
- 20
Habari niliyopata kama nusu saa iliyopita ni kuwa ccm imeandaa pesa za kujikimu kwa wanafunzi wote ambao ni wanachama wa chama hicho waende kupiga kura katika vituo vyao" naona ni ufisadi mkubwa unatendeka na ni kunyonga democrasia; inaumiza na kusikitisha kama haya mambo ni kweli.
Mungu atusaidie
Mungu atusaidie