Nlichobaini hadi sasa ni kwamba wengi hawajui utaratibu wa kupiga kura. POLENI SANA! Mi si mwanachama wa chama chochote, nipo neutral. Habari ndio hii:- Kama wewe ulijiandikisha kupiga kura na upo nje ya kata yako ila jimbo ni lile lile, utaruhusiwa kumpigia kura Mbunge na Rais tu, Diwani hautamchagua, kama upo nje ya jimbo ambalo ulijiandikisha, utaruhusiwa kumchagua Rais tu, Mbunge na Diwani hautaruhusiwa kuwapigia kura. KWA MANTIKI HIYO HAO WANACHUO WATAPIGA KURA YA KUMCHAGUA RAIS HATA KAMA WATAKUWA WAPI, ILI MRADI WAWE NDANI YA TANZANIA, So nyinyi mnaosema kwamba wanachuo hawatapiga kura MNAPOTOKA NA MNAPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA.