CCM imeshindwa katika hoja,kisera na ushawishi kwa wananchi kilchobaki mabavu!

CCM imeshindwa katika hoja,kisera na ushawishi kwa wananchi kilchobaki mabavu!

Joined
Jan 16, 2007
Posts
721
Reaction score
178
Kwa Hali ilivyo hivi sasa inaonekana CCM umeshindwa katika kila sehemu na CHADEMA na kasi ya CHADEMA kukubarika kwa wananchi matokeo Yake inatumia nguvu za dola na Majungu kwa kuzuia mikutano. na maandamano bila sababu. Matokeo yake vurugu na kusababisha vifo na majeruhi MUNNGU IBARIKI TANZANIA .
 
CCM na hao mbwa wao wanaowasakizia kuwashambulia Chadema lazima 2016 wakaozee jela.
 
Kwa Hali ilivyo hivi sasa inaonekana CCM umeshindwa katika kila sehemu na CHADEMA na kasi ya CHADEMA kukubarika kwa wananchi matokeo Yake inatumia nguvu za dola na Majungu kwa kuzuia mikutano. na maandamano bila sababu. Matokeo yake vurugu na kusababisha vifo na majeruhi MUNNGU IBARIKI TANZANIA .
 
Back
Top Bottom