peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Majizi ya Ccm yana siri zipi ambazo Watanzania hawazijui?Chama cha Mapinduzi Taifa au Mkoa ninawaomba mfanye uchunguzi wa kina kama sio utafiti kumwangalia au kumfuatilia Katibu wa CCM Wilaya ya Hai Kilimanjaro., kama kweli hajui kuandika.
Kuna kila Dalili mtu huyo hajui kuandika hivyo ili kuandika siri au taarifa za chama anafanyia kazi hizo mitaani, matokeo yake siri na taarifa za chama zinavuja na kuwafikia wapinzani.
Hii ni aibu na historia !!!
Hatuhitaji wasomi!! Kikubwa uwe mpiga debe mzur tu!! OverChama cha Mapinduzi Taifa au Mkoa ninawaomba mfanye uchunguzi wa kina kama sio utafiti kumwangalia au kumfuatilia Katibu wa CCM Wilaya ya Hai Kilimanjaro., kama kweli hajui kuandika.
Kuna kila Dalili mtu huyo hajui kuandika hivyo ili kuandika siri au taarifa za chama anafanyia kazi hizo mitaani, matokeo yake siri na taarifa za chama zinavuja na kuwafikia wapinzani.
Hii ni aibu na historia !!!
Tatizo la kutokujua kuandika kaxi za chama zinapelekwa kwenye ofisi za upande wa pili ili kuandikwa.Hatuhitaji wasomi!! Kikubwa uwe mpiga debe mzur tu!! Over
Viongozi wengi wa ccm ni duni mno !Chama cha Mapinduzi Taifa au Mkoa ninawaomba mfanye uchunguzi wa kina kama sio utafiti kumwangalia au kumfuatilia Katibu wa CCM Wilaya ya Hai Kilimanjaro., kama kweli hajui kuandika.
Kuna kila Dalili mtu huyo hajui kuandika hivyo ili kuandika siri au taarifa za chama anafanyia kazi hizo mitaani, matokeo yake siri na taarifa za chama zinavuja na kuwafikia wapinzani.
Hii ni aibu na historia !!!
Chama kina siri gani?Chama cha Mapinduzi Taifa au Mkoa ninawaomba mfanye uchunguzi wa kina kama sio utafiti kumwangalia au kumfuatilia Katibu wa CCM Wilaya ya Hai Kilimanjaro., kama kweli hajui kuandika.
Kuna kila Dalili mtu huyo hajui kuandika hivyo ili kuandika siri au taarifa za chama anafanyia kazi hizo mitaani, matokeo yake siri na taarifa za chama zinavuja na kuwafikia wapinzani.
Hii ni aibu na historia !!!
Hajui kuandika kwa kalamu kwa kutumia mkono.Hajui kuandika au kuchapa?
Hata nyumbani kwenu kuna siri za nyumbani sembuse chama tawala!!Chama kina siri gani?
Hilo kwetu halina tatizo kikubwa apiganie chama na asifie by any means!!Tatizo la kutokujua kuandika kaxi za chama zinapelekwa kwenye ofisi za upande wa pili ili kuandikwa.
Matokeo yake siri za vikao zinavuja kabla ya vikao kufanyika.
Wizi wa kura ndiyo siri zenyewe.Majizi ya Ccm yana siri zipi ambazo Watanzania hawazijui?
Kama walivyo madiwani wengi wa Wilaya ya Mkuranga na Rufiji.Viongozi wengi wa ccm ni duni mno !