CCM imjibu Tundu Lissu kuhusu malalamiko yake kuhusu dosari katika chaguzi zetu

CCM imjibu Tundu Lissu kuhusu malalamiko yake kuhusu dosari katika chaguzi zetu

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Imjibu yeye kama nani? Apeleke huko tumbo lake na mdomo wake mpana kama bakuli 😉
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Ukitaka majibu ya CCM tafuta clip ya Nape akizungumza kuhusu namna ya kushinda uchaguzi akiwa Karagwe jimboni kwa Byabato. Usitusumbue
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Ni vyema kutumia akili katika kuandika. Je, unadhani ni kazi ya CCM kumjibu Tundu Lissu
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Koleo iwe kijiko kikubwa, (to call a spade a big spoon ), kikikiki, tumezoea majibu ya wanao jizima data, wanaahirisha kufikiri kizalendo
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Ingekuwa sio kweli wangeshajibu, na hata wakijitutumua kujibu wataishia kupotosha na kupiga propaganda.
 
Hakuna wa kuthubutu, hata hiyo Tume ya Uchaguzi hutoisikia
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Mkuu, ngoja nikae pembeni nisome blaablaa za MACHAWA
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Walizoea kumjibu mzee wa maridhiano tu hoja za lisu hazijibiki sababu lisu huwa anapiga kwenye mshono ambao ni mbichi kabisaaaaa
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
TUTAYAANGALIA KAMA YAPO KWELI KWENYE UCHAGUZI HUU MKUU WA MWAKA HUU HALAFU TUTAKUJA KUMJIBU NA SULIHISHOI LAKE TUTAMPATIA AWE NA SUBIRA
 
Tangu Tundu Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Kauli Mbiu yake ni "NO REFORM NO ELECTION" na ameendelea kuilaumu CCM.

Ameenda mbali na kuilaumu CCM kuwa dosari katika chaguzi zetu zinasababishwa na CCM kwa kuwatumia vyombo vya ulinzi, watumishi wa umma nk.

Kwa kauli mbiu yake hii ni vema CCM ikamjibu kuliko kukaa kimya.

Kukaa kimya itamaanisha kuwa haya anayoyasema ni ya kweli.

Tokeni hadharani kuyakanusha madai yake.
Anajibiwaje wakati Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Mzee Wassira alimwambia waingie kwenye mdahalo Lissu kaogopa? Unataka ajibiwe Clubhouse? CCM haifanyi ujinga huo.
 
Ukiwa uchi halafu ukiambiwa upo uchi wakati Kuna watu, je, utajibu? au utachutama? CCM wapo uchi na wanajua wapo uchi ila wanashupaza shingo! Muda na wakati ukifika hukumu ya haki hutolewa.
 
Back
Top Bottom